Posted on: November 24th, 2025
Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana, Mhe. Amina Makilagi, leo tarehe 24 Novemba 2025, ameendelea na ziara yake ya kusikiliza na kutatua kero za wananchi katika Kata za Buhongwa na Kishili, ikiwa ni sehemu ya ...
Posted on: November 20th, 2025
Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana Mhe. Amina Makilagi amefanya mikutano ya hadhara katika Kata ya Igoma na Kata ya Mhandu kwa lengo la kusikiliza na kutatua kero za wananchi.
Mikutano hiyo imefanyika keo...
Posted on: October 1st, 2025
Watumishi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza wameshiriki mafunzo ya matumizi ya mfumo wa kidijitali wa utunzaji na uendeshaji wa kumbukumbu na nyaraka za Serikali (e-Office), yaliyofanyika leo Oktoba 1,...