• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

ULINZI NA USALAMA WAIMARISHWA BUHONGWA NA KISHILI

Posted on: November 24th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana, Mhe. Amina Makilagi, leo tarehe 24 Novemba 2025, ameendelea na ziara yake ya kusikiliza na kutatua kero za wananchi katika Kata za Buhongwa na Kishili, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuimarisha utawala bora na kutoa huduma kwa ukaribu.

Katika mkutano huo, wananchi wa maeneo hayo wameeleza wasiwasi wao juu ya maandamano yanayodaiwa kupangwa kufanyika tarehe 9 Desemba 2025, wakisema matukio ya vurugu yaliyotokea hivi karibuni yamesababisha madhara ikiwemo uharibifu wa miundombinu na kukatiza shughuli za wananchi.

Akizungumza na wakazi wa kata hizo, Mkuu wa Wilaya Mhe. Makilagi amewahakikishia kuwa Kamati ya Ulinzi na Usalama imeimarisha mikakati ya kurejesha na kudumisha hali ya usalama, na kuwataka wananchi kuendelea kulinda amani, kushirikiana na vyombo vya usalama, pamoja na kuepuka vitendo vyovyote vinavyoweza kusababisha uvunjifu wa sheria.

Ziara hii ni mwendelezo wa jitihada za Serikali ya Wilaya ya Nyamagana katika kusikiliza, kutatua kero na kusimamia usalama wa wananchi wake kwa ukaribu zaidi.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA UCHAGUZI October 19, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA SEMINA JIMBO LA NYAMAGANA October 21, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI November 29, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 09, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MBUNGE WA NYAMAGANA AKUTANA NA MENEJIMENTI YA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA

    January 06, 2026
  • UZIO WAVUNJWA MAHINA, BARABARA YA UMMA YAFUNGULIWA.

    December 30, 2025
  • WATENDAJI WA KATA NA MITAA JIJINI MWANZA WAHIMIZWA UWAJIBIKAJI KATIKA UKUSANYAJI WA MAPATO

    December 30, 2025
  • WATENDAJI WA KATA NA MITAA JIJINI MWANZA WAHIMIZWA UWAJIBIKAJI KATIKA UKUSANYAJI WA MAPATO

    December 30, 2025
  • Tazama Zote

Video

Ziara
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.