• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

MBUNGE WA NYAMAGANA AKUTANA NA MENEJIMENTI YA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA

Posted on: January 6th, 2026

Mbunge wa Jimbo la Nyamagana, Mheshimiwa John Francisco Nzilanyingi, leo Januari 6,2026 amekutana na Menejimenti ya Halmashauri ya Jiji la Mwanza kwa lengo la kufahamiana pamoja na kueleza dhamira na mwelekeo wake wa utekelezaji wa majukumu ya ubunge kwa kipindi cha miaka mitano kwa wananchi wa Nyamagana.

Katika kikao hicho, Mheshimiwa Nzilanyingi aliomba ushirikiano wa karibu kutoka kwa Menejimenti ya Halmashauri, akisisitiza kuwa watendaji wa Serikali ndio mhimili muhimu wa kutafsiri Ilani ya Chama Tawala kwa vitendo na kuifikisha kwa wananchi.

“Nyie watendaji ndio watu sahihi wa kuitafsiri Ilani ya Chama kwa vitendo kwa wananchi,” alisisitiza Mbunge Nzilanyingi.

Aidha, Mbunge huyo alisema kuwa muda si mrefu ataanza ziara katika maeneo mbalimbali ndani ya Jimbo la Nyamagana, ambapo ataambatana na wataalamu wa Halmashauri kulingana na changamoto za maeneo husika, ili kuhakikisha suluhisho la changamoto hizo linapatikana kwa ufanisi.

Mheshimiwa Nzilanyingi pia alihimiza kila kiongozi na mtumishi wa umma kuacha alama chanya katika eneo analolisimamia kwa kuwahudumia wananchi kwa bidii, uwajibikaji na uadilifu.

Akizungumza kwa niaba ya Menejimenti ya Halmashauri ya Jiji la Mwanza, Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza, Wakili Kiomoni Kiburwa Kibamba, alisema Menejimenti ipo tayari kutoa ushirikiano wa karibu na kumwezesha Mbunge wa Nyamagana kufanikisha malengo na ndoto zake kwa manufaa ya wananchi.

“Kauli mbiu ya TAMISEMI ni kuwapatia wananchi tabasamu. Hii ina maana ya kuwahudumia wananchi kwa weledi, kutatua changamoto na kero zinazowakabili wananchi,” alisema Mkurugenzi Kibamba.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA UCHAGUZI October 19, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA SEMINA JIMBO LA NYAMAGANA October 21, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI November 29, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 09, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MBUNGE WA NYAMAGANA MH. JOHN NZILANYINGI ATEMBELEA WAATHIRIKA WA MAFURIKO KATA YA MIRONGO

    January 09, 2026
  • MKURUGENZI WA JIJI LA MWANZA AKAGUA MIUNDOMBINU YA KIMKAKATI NYAMAGANA.

    January 07, 2026
  • MBUNGE WA NYAMAGANA AKUTANA NA MENEJIMENTI YA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA

    January 06, 2026
  • UZIO WAVUNJWA MAHINA, BARABARA YA UMMA YAFUNGULIWA.

    December 30, 2025
  • Tazama Zote

Video

Ziara
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.