• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

RC MTANDA AWEKA JIWE LA MSINGI SHULE MPYA INAYOJENGWA KWA MFUMO WA GHOROFA KASOTA -MHANDU.

Posted on: January 29th, 2026

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amefanya ziara ya kikazi katika Wilaya ya Nyamagana Leo Januari 29,2026 kwa lengo la kukagua na kuweka Jiwe la Msingi katika ujenzi wa Shule mpya ya sekondari inayojengwa kwa mfumo wa ghorofa  mtaa wa Kasota kata Mhandu.

Mhe. Mtanda akizungumza katika hafla hiyo ameipongeza serikali kwa kuendelea kutoa fedha za miradi katika kutekeleza miundombinu ya elimu kwa kushirikiana na uongozi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza huku akiweka bayana kuwa” kuanzia mwaka 2021 hadi sasa kumekuwa na ongezeko la shule za sekondari 58”

Vilevile amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza kutoa fedha kiasi cha Tshs milion 200 ili kuharakisha ujenzi wa shule hiyo ili ifikapo Januari 2027 wanafunzi wa kidato cha kwanza waanze Mara moja ili kusaidia kupunguza msongamano.

Kwa upande wake Mhe. Amina Makilagi Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana ameipongeza Serikali kwa kuendelea kutoa fedha kwa ajili ya miundombinu ya elimu ambapo amesema  ujenzi wa shule hii utagharimu jumla ya kiasi cha Tshs Bilioni 4.6 na utakapokamilika utakuwa na uwezo wa kubeba wanafunzi 1620 na kufanya mtaa wa Mhandu kuwa na Shule mbili za sekondari  hivyo itasaidia kupunguza msongamano wa wanafunzi madarasani.

Naye Mkuu wa Shule ya Sekondari Mhandu Mwl. Warioba Marato akisoma taarifa kwa Mkuu wa Mkoa ameeleza ujenzi ulianza  juni 2025, na serikali ilitoa  kiasi cha Tsh. 584.2 kwa lengo la kujenga shule ya sekondari ya kawaida katika kata hiyo lakini kutokana na ufinyu wa eneo na ongezeko la wanafunzi kuwa kubwa  Halmashauri uliamua shule hiyo ijengwe kwa mfumo wa Ghorofa.

Mwl. Marato ameongeza kuwa mpaka sasa ujenzi umefikia asilimia 45% na ili ujenzi kukamilika unahitaji Bilioni 1.56 huku akiweka bayana kuwa kwa mwaka 2026 wanafunzi waliyochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza ni 13,609 na waliyokwisha kulipoti ni 10,195 Sawa na asilimia 75.03%  ya wanafunzi wote waliyopo shuleni.

Aidha Msitahiki Meya wa Jiji la Mwanza Mhe. Sima Costantine Sima amesema shule Hii ni ya kimkakati na itasaidia kuhudumia mitaa zaidi ya saba katika kata ya Mhandu na mitaa minne ya jirani iliyopo kata ya igoma hivyo kusaidia kupunguza msongamano na wanafunzi kutotembea umbali mlefu kutafuta elimu.

Shule hiyo pindi tu itakapokamilika itaitwa Said Mtanda sekondari ikiwa ni kumbukizi yakuyaenzi mazuri anayoyatenda na kuyatekeleza kwa kuchapa kazi huku akichochea Maendeleo ya Mkoa wa Mwanza katika miundombinu mbalimbali ikiwemo Sekita ya elimu.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA UCHAGUZI October 19, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA SEMINA JIMBO LA NYAMAGANA October 21, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI November 29, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 09, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC MTANDA AWEKA JIWE LA MSINGI SHULE MPYA INAYOJENGWA KWA MFUMO WA GHOROFA KASOTA -MHANDU.

    January 29, 2026
  • WASTAAFU WATAKIWA KUTUMIA KIINUA MGONGO KWA MATUMIZI SAHIHI.

    January 29, 2026
  • NYAMAGANA YAADHIMISHA SIKU YAKUZALIWA KWA MHE. RAIS KWA KUPANDA MITI.

    January 27, 2026
  • MV NEW MWANZA YAZINDULIWA, SERIKALI YAIMARISHA USAFIRI ZIWA VICTORIA

    January 23, 2026
  • Tazama Zote

Video

Ziara
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.