• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

WASTAAFU WATAKIWA KUTUMIA KIINUA MGONGO KWA MATUMIZI SAHIHI.

Posted on: January 29th, 2026

Watumishi wastaafu wametakiwa kutumia kiinua mgongo kwa matumizi ambayo ni sahihi, rai hiyo imetolewa mapema leo Januari 29, 2026 na Afisa Utumishi Mkuu wa  Jiji la Mwanza Ndg. Musa Mbyana ambaye pia amemuwakilisha Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza katika hafla iliyofanyika katika viwanja vya makao makuu ya  Halmashauri ya Jiji la Mwanza.

" Niwasihi mliopata kiinua Mgongo kuendelea kutumia kwa matumizi ambayo ni sahihi, kama ulikua haujanunua gari, haujajenga, kiinua mgongo siyo kwa matumizi ya kununua hivyo vitu" amesisitiza Ndg. Mbyana

Mbyana pia ameendelea kwa kuwaasa wastaafu kujali afya zao kwa kufanya mazoezi huku akiishukuru Idara ya Elimu  kwa kuwezesha hili

" Niwashukuru Idara ya Elimu kwa kutupa mwamko na tukijaaliwa tutafanya hivyo kwa wastaafu wote, Ninyi ni walimu na kweli mmetufundisha, niwashukuru kwa elimu hii mliotupa".

Kwa upande wao wastaafu wameshukuru na kuomba jambo hili liwe endelevu lisiishie kwao tu.

Hafla hii imejumuisha wastaafu 23 waliostaafu kwa kipindi cha Mwaka 2025 kutoka Idara ya Elimu Msingi na Elimu  Sekondari.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA UCHAGUZI October 19, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA SEMINA JIMBO LA NYAMAGANA October 21, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI November 29, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 09, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC MTANDA AWEKA JIWE LA MSINGI SHULE MPYA INAYOJENGWA KWA MFUMO WA GHOROFA KASOTA -MHANDU.

    January 29, 2026
  • WASTAAFU WATAKIWA KUTUMIA KIINUA MGONGO KWA MATUMIZI SAHIHI.

    January 29, 2026
  • NYAMAGANA YAADHIMISHA SIKU YAKUZALIWA KWA MHE. RAIS KWA KUPANDA MITI.

    January 27, 2026
  • MV NEW MWANZA YAZINDULIWA, SERIKALI YAIMARISHA USAFIRI ZIWA VICTORIA

    January 23, 2026
  • Tazama Zote

Video

Ziara
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.