• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

Huduma ya Maji

Utunzaji wa maji safi na salama hutolewa hasa na Mamlaka ya Maj i Mwanza (MWAUWASA) ambayo sasa ni 92% kwa watu wote wanaoishi katikati Jiji na 67% kwa watu wanaoishi katika maeneo ya pembezoni.

Kwa sasa Jiji la Mwanza limekamilisha mradi mkubwa wa maji ambao unakadiriwa kuwaokoa watu 6,000. Hii itafikisha asilimia 73%. ya watu wanaopata maji Pia tuna mradi mpya wa maji katika eneo la Lwanhima ambalo baada ya kukamilika utagarimu Tsh 2,218,000,000.00 (WSDP)

Sekta ya maji ina lengo la a kufikisha huduma ya maji katika maeneo yote ya pembezoni mwa mji hususani katika maeneo ya Kata za Kishiri, Lwanhima na Luchelele pia kuhakikisha kuwa maeneo yote ya utoaji huduma za kijamii kama Zahanati, Hospitali ya Wilaya, Vituo vya Afya, Shule za Msingi na Shule za Sekondari zinapata huduma za Maji endelevu.

Mpaka sasa Idara imefikisha huduma ya maji katika maeneo ya Fumagila, Luchelele ziwani na Kilimo kishili kupitia Mfuko wa Maji vijijini na pia inaendelea na ujenzi wa mradi wa usambazaji maji katika kata ya Lwanhima.

Aidha, katika sekta hii inatoa elimu ya usimamizi wa miradi ya maji kwa vikundi vya watumiaji wa maji (COWSO) na wasimamizi wa magati ya maji pale mradi unapokamilika.

Hata hivyo huduma ya maji safi na salama kwa baadhi ya taasisi za serikali imekamilika, mpaka sasa shule za msingi zenye huduma ya maji ni 70, shule za sekondari zenye huduma ya maji ni 27, zahanati zenye huduma ya maji ni 12 na vituo vya afya vyenye huduma ya maji ni 2.

Huduma ya Maji safi na Salama katika maeneo ya pembezoni mwa mji imeongezeka kutoka asilimia 42 mwaka 2010 hadi kufikia asilimia 62 mwaka 2018 na tumefanikiwa kuongeza idadi ya vituo vya kuchotea maji kutoka 29 hadi 82 kwa maeneo ya Luchelele ziwani, Kishili kilimo na Fumagila kwa jumla ya miradi ya maji iliyokamilika.

Naomba kuwasilisha,

Eng Zubeda Saidi

K N Y. MKURUGENZI WA JIJI

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA WAOMBAJI AMBAO HAWAJAWASILISHA TAARIFA ZAO KWA AJILI YA MNADA April 30, 2025
  • JITOKEZE KUJIANDIKISHA October 16, 2024
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA MAENEO YA BIASHARA KATIKA SOKO KUU December 14, 2024
  • TANGAZO LA KUPEWA NA KUINGIZWA KATIKA MFUMO WA TAUSI -UPANGISHAJI WA SOKO KUU MWANZA February 21, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WAKILI KIBAMBA ASISITIZA NIDHAMU ENEO LA KAZI

    May 08, 2025
  • WAWEZESHAJI WATOA MBINU ZA UFUNDISHAJI WA SOMO LA KIINGEREZA KUONGEZA UFAULU NYAMAGANA

    May 05, 2025
  • WAJUMBE WA MABARAZA YA KATA WATAKIWA KUTIMIZA WAJIBU WAO KWA HAKI

    March 26, 2025
  • DC NYAMAGANA MTAA KWA MTAA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI

    March 28, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya wiki ya utumishi wa Umma Halmashauri ya Jiji la Mwanza
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.