• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

MBUNGE WA NYAMAGANA MH. JOHN NZILANYINGI ATEMBELEA WAATHIRIKA WA MAFURIKO KATA YA MIRONGO

Posted on: January 9th, 2026

Mbunge wa Jimbo la Nyamagana, Mheshimiwa John Francisco Nzilanyingi, leo tarehe 09 Januari, 2026, amefanya ziara ya kutembelea na kujionea hali ya waathirika wa mafuriko yaliyosababishwa na Mto Mirongo katika Kata ya Mirongo, Jijini Mwanza.

Katika ziara hiyo, Mheshimiwa Mbunge aliambatana na wataalamu kutoka Halmashauri ya Jiji la Mwanza pamoja na wataalamu wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kwa lengo la kufanya tathmini ya athari za mafuriko hayo na kutafuta suluhisho la kudumu kwa changamoto iliyopo.

Akizungumza na wananchi wa Kata ya Mirongo, Mheshimiwa Nzilanyingi aliwashukuru kwa dhati kwa kumpa ridhaa ya kuwa mwakilishi wao katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na akaahidi kuendelea kusimamia na kupigania maslahi yao, hususan katika masuala ya miundombinu na usalama wa maisha ya wananchi.

Aidha, Mheshimiwa Mbunge alitoa ufafanuzi kuhusu mpango wa ujenzi wa Daraja la Masai, akibainisha kuwa ujenzi huo unatarajiwa kuanza hivi karibuni. Sambamba na hilo, alieleza kuwa kazi ya ujenzi na uimarishaji wa kingo za Mto Mirongo itatekelezwa kuanzia Ziwa Victoria hadi eneo la Mabatini, hatua inayolenga kudhibiti mafuriko na kuondoa adha inayowakumba wananchi mara kwa mara.

Wananchi wa Kata ya Mirongo walieleza matumaini yao makubwa kuwa utekelezaji wa miradi hiyo utasaidia kurejesha hali ya kawaida, kulinda makazi yao, na kuboresha maisha yao kwa ujumla.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA UCHAGUZI October 19, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA SEMINA JIMBO LA NYAMAGANA October 21, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI November 29, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 09, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MBUNGE WA NYAMAGANA MH. JOHN NZILANYINGI ATEMBELEA WAATHIRIKA WA MAFURIKO KATA YA MIRONGO

    January 09, 2026
  • MKURUGENZI WA JIJI LA MWANZA AKAGUA MIUNDOMBINU YA KIMKAKATI NYAMAGANA.

    January 07, 2026
  • MBUNGE WA NYAMAGANA AKUTANA NA MENEJIMENTI YA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA

    January 06, 2026
  • UZIO WAVUNJWA MAHINA, BARABARA YA UMMA YAFUNGULIWA.

    December 30, 2025
  • Tazama Zote

Video

Ziara
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.