• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

NYAMAGANA YAADHIMISHA SIKU YAKUZALIWA KWA MHE. RAIS KWA KUPANDA MITI.

Posted on: January 27th, 2026

Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana Mhe.Amina Makilagi, ameitaka jamii kuendelea kushiriki kikamilifu katika upandaji na utunzaji wa miti, ikiwa ni njia ya kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi.

Mhe. Makilagi ametoa wito huo leo Januari 27,2026 wakati wa zoezi la upandaji miti lililofanyika katika Shule ya Sekondari Kakebe iliyopo Kata ya Igoma , ikiwa ni sehemu ya kumbukizi ya siku ya kuzaliwa ya Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambaye pia ni muasisi wa kampeni ya Tanzania ya Kijani.

Akizungumza katika zoezi hilo, Mkuu wa Wilaya amesema zaidi ya miti 2,000 imepandwa  katika vituo vya Afya, zahanati na kati ya hiyo miti zaidi ya 1,200 imepandwa ndani ya Shule ya Sekondari Kakebe Leo.

Mheshimiwa Makilagi amesisitiza kuwa miti yote iliyopandwa italindwa na kutunzwa ili kuhakikisha inanawiri na kuleta tija iliyokusudiwa, ikiwemo kuboresha mazingira, kuhifadhi vyanzo vya maji na kupunguza athari za mabadiliko ya tabianchi.

„Tunapanda miti kuondoa hewa Ukaa na kupata mazingira wezeshi yakufundishia  huku tukiendeleza utengenezaji wa  lishe bora  kwa watoto na kizazi kijacho  kwa kupanda miti ya matunda  hususani maparachichi“ amesema Makilagi.

Aidha, amewahimiza wanafunzi, walimu na wananchi kwa ujumla kuendelea kuwa mabalozi wa uhifadhi wa mazingira kwa kupanda miti katika maeneo yao na kuitunza ili kuhakikisha kampeni ya Tanzania ya Kijani inaleta matokeo chanya kwa kizazi cha sasa na kijacho.

Katika Hafla hiyo Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amefanikisha kutatua changamoto ya umeme na maji vinavyogharimu takribani shilingi 1,800,000 ambapo amefanya harambee na kupata kiasi cha shilingi 1,350,000. Huku akimuagiza meneja wa Tanesco kutoa Control namba na umeme uje Mara moja katika shule hiyo ya sekondari Kakebe na kumtaka Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza kuongeza kiasi kilichobaki ili kumaliza changamoto ya maji kwa haraka.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA UCHAGUZI October 19, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA SEMINA JIMBO LA NYAMAGANA October 21, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI November 29, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 09, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC MTANDA AWEKA JIWE LA MSINGI SHULE MPYA INAYOJENGWA KWA MFUMO WA GHOROFA KASOTA -MHANDU.

    January 29, 2026
  • WASTAAFU WATAKIWA KUTUMIA KIINUA MGONGO KWA MATUMIZI SAHIHI.

    January 29, 2026
  • NYAMAGANA YAADHIMISHA SIKU YAKUZALIWA KWA MHE. RAIS KWA KUPANDA MITI.

    January 27, 2026
  • MV NEW MWANZA YAZINDULIWA, SERIKALI YAIMARISHA USAFIRI ZIWA VICTORIA

    January 23, 2026
  • Tazama Zote

Video

Ziara
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.