• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

WAZIRI MKUU AAGIZA MRADI WA MAJI SAHWA UKAMILIKE KWA HARAKA

Posted on: January 23rd, 2026

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Januari 23, 2026 ameweka jiwe la msingi la mradi wa ujenzi wa kituo cha kusukuma maji na matenki ya kuhifadhia maji katika mtaa wa Sahwa, Kata ya Lwanhima, Jijini Mwanza.

Akizungumza katika hafla hiyo, Mhe. Waziri Mkuu amewataka wakandarasi kufanya kazi usiku na mchana ili kuhakikisha mradi unakamilika kwa wakati, akisisitiza kuwa Serikali itasimamia utekelezaji wake kwa ukaribu ili kuondoa kero ya maji kwa wananchi.

Ameelekeza pia Wizara ya Maji kuhakikisha fedha za miradi ya maji zinawasilishwa kwa wakati, akibainisha kuwa maji ni huduma muhimu ya kijamii isiyo na mbadala.

Kwa upande wake, Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (MB), amesema Wizara yake kwa kushirikiana na MWAUWASA itaendelea kumsimamia mkandarasi ili mradi ukamilike kwa mujibu wa mkataba.

Mradi huo unaotekelezwa chini ya Programu ya Maji na Usafi wa Mazingira ya Ziwa Victoria (LVWATSAN) unatarajiwa kuwanufaisha zaidi ya wananchi 450,000 wa Jiji la Mwanza pamoja na Wilaya za Magu na Misungwi, na utakapokamilika utachangia kuboresha upatikanaji wa majisafi na kupunguza magonjwa yatokanayo na maji machafu. Gharama za mradi ni zaidi ya Shilingi bilioni 46 na unatarajiwa kukamilika Desemba, 2026.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA UCHAGUZI October 19, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA SEMINA JIMBO LA NYAMAGANA October 21, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI November 29, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 09, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MV NEW MWANZA YAZINDULIWA, SERIKALI YAIMARISHA USAFIRI ZIWA VICTORIA

    January 23, 2026
  • WAZIRI MKUU AAGIZA MRADI WA MAJI SAHWA UKAMILIKE KWA HARAKA

    January 23, 2026
  • WADAU SEKTA YA UVUVI WAJADILI ATHARI ZA JUU YA NYAVU ZILIZOTELEKEZWA ZIWANI

    January 16, 2026
  • MBUNGE WA NYAMAGANA MH. JOHN NZILANYINGI ATEMBELEA WAATHIRIKA WA MAFURIKO KATA YA MIRONGO

    January 09, 2026
  • Tazama Zote

Video

Ziara
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.