• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

WADAU SEKTA YA UVUVI WAJADILI ATHARI ZA JUU YA NYAVU ZILIZOTELEKEZWA ZIWANI

Posted on: January 16th, 2026

Katika jitihada za kulinda na kuhifadhi mazingira ya Ziwa Victoria, wadau wa sekta ya uvuvi, mazingira na jamii kutoka Wilaya za Nyamagana na Ilemela wamekutana katika kikao maalum cha kujadili changamoto za taka za plastiki na nyavu zilizotelekezwa ziwani (ghost gear) zinazoharibu mazingira na kuathiri rasilimali za ziwa.

Akifungua kikao hicho January 16,2025 kwa niaba ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza, Bw. Oswald Mpelasoka ambaye ni Mkuu wa kitengo cha Mazingira, alisisitiza kuwa lengo la kikao ni kuimarisha ushirikiano wa wadau katika kulinda Ziwa Victoria na kuendeleza uvuvi endelevu unaozingatia usimamizi bora wa mazingira.

Aidha Mtaalamu wa mazingira, Dr. Bahati Mayoma, aliwasilisha mada kuhusu athari za taka za plastiki ndani ya Ziwa Victoria, akieleza kuwa plastiki zinazotupwa hovyo au kuingia ziwani kupitia mito na mifereji ya maji huchafua maji, huua viumbe wa majini na kuleta hatari za chembe chembe za plastiki ambazo zinaweza kuingia katika mlolongo wa chakula na kuathiri afya za binadamu.

Wawakilishi wa wavuvi walieleza changamoto za nyavu zilizotelekezwa ziwani kuvua samaki bila kudhibitiwa, kuharibu mazalia ya samaki na kupunguza rasilimali za uvuvi, jambo ambalo linaathiri moja kwa moja kipato na usalama wa chakula wa jamii zinazotegemea ziwa.

Hatua hii ya kukutanisha wadau imewezekana kupitia Mradi wa SASA – Green and Smart Cities unaotekelezwa katika Wilaya za Nyamagana na Ilemela, ambao umewezesha ushirikiano wa wadau wa uvuvi, mazingira na jamii kuweza kubaini changamoto, kubadilishana uzoefu na kupanga mikakati ya pamoja ya kuhifadhi ziwa kwa manufaa ya sasa na vizazi vijavyo.

Wadau walipendekeza kuimarisha elimu kwa wavuvi na jamii zinazozunguka ziwa, kuweka mifumo madhubuti ya ukusanyaji wa nyavu chakavu na taka za plastiki, pamoja na kuongezwa kwa doria za usimamizi wa uvuvi ili kuhakikisha utunzaji bora wa rasilimali hizi muhimu.

Kikao kilihitimishwa kwa wito wa ushirikiano wa pamoja kati ya wadau wote kuhakikisha Ziwa Victoria linaendelea kuwa chanzo cha maisha, maendeleo na ustawi wa jamii zinazolizunguka.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA UCHAGUZI October 19, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA SEMINA JIMBO LA NYAMAGANA October 21, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI November 29, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 09, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MV NEW MWANZA YAZINDULIWA, SERIKALI YAIMARISHA USAFIRI ZIWA VICTORIA

    January 23, 2026
  • WAZIRI MKUU AAGIZA MRADI WA MAJI SAHWA UKAMILIKE KWA HARAKA

    January 23, 2026
  • WADAU SEKTA YA UVUVI WAJADILI ATHARI ZA JUU YA NYAVU ZILIZOTELEKEZWA ZIWANI

    January 16, 2026
  • MBUNGE WA NYAMAGANA MH. JOHN NZILANYINGI ATEMBELEA WAATHIRIKA WA MAFURIKO KATA YA MIRONGO

    January 09, 2026
  • Tazama Zote

Video

Ziara
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.