Posted on: February 7th, 2025
Balozi wa Finland Nchini Tanzania, Mhe.Theresa Zitting afanya ziara katika Halmashauri ya Jiji la Mwanza yenye lengo la kuimarisha uhusiano kati ya Jiji la Mwanza na Jiji la Tampere pamoja na Taasisi ...
Posted on: January 29th, 2025
Baraza la Wafanyakazi la Halmashauri ya Jiji la Mwanza limepokea, kujadili na kupitisha mapendekezo ya Bajeti ya Mapato na Matumizi ya shilingi 124,378,085,328,00 kwa mwaka wa fedha 2025/2026.
...
Posted on: January 30th, 2025
Wanufaika wa mikopo itokanayo na asilimia kumi ya mapato ya Halmashauri ya Jiji la Mwanza wamepatiwa mafunzo ya namna ya kufanya biashara zao ili mikopo waliyopatiwa iwe na tija na kuwainua kiuchumi.
...