Posted on: February 21st, 2025
Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Jiji la Mwanza limeridhia kupitisha rasimu ya bajeti ya Shilingi bilioni 124,378,085,328.00 kwa mwaka wa fedha 2025/2026.
Kikao hicho kimeketi katika ukumbi mku...
Posted on: February 20th, 2025
Halmashauri ya Jiji la Mwanza imezindua ugawaji wa mikopo ya asilimia kumi kwa makundi maalumu yakiwemo ya wanawake,vijana na walemavu ambapo takribani Bilioni 1.3 imetolewa kwa vikundi vyenye sifa.
...
Posted on: February 14th, 2025
Ikiwa ni maandalizi ya Mikutano Mkuu wa (ALAT) Taifa Mwenyekiti wa Kamati Tendaji ya Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) Taifa Mhe. Murshid Ngeze amewaongoza wajumbe wa Kamati hiyo katika ziara...