• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

UFUNGUZI RASMI WA MAFUNZO YA UANDAAJI WA MPANGO NA BAJETI KWA MAAFISA BAJETI NA WAKUU WA IDARA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA

Posted on: November 25th, 2025

Mafunzo ya siku mbili kuhusu uandaaji wa mpango na bajeti kwa Maafisa Bajeti na Wakuu wa Idara katika Halmashauri ya Jiji la Mwanza yamefunguliwa rasmi leo  Novemba 25,2025 na Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza, Bw. Peter Juma Lehhet.

Akizungumza wakati wa ufunguzi huo, Bw. Lehhet amesema kuwa mafunzo hayo yameandaliwa kwa lengo la kuwawezesha washiriki kupata uelewa na ujuzi sahihi kuhusu mchakato wa uandaaji wa mpango na bajeti, ili kuboresha upangaji, utekelezaji na usimamizi wa rasilimali za Halmashauri kwa ufanisi, uwazi na uwajibikaji.

Ameongeza kuwa uboreshaji wa uwezo wa watumishi katika eneo la mipango na bajeti ni muhimu kwa kuhakikisha kwamba shughuli na miradi ya maendeleo inatekelezwa kwa kuzingatia vipaumbele vya Halmashauri na matarajio ya wananchi. Aidha, amewataka washiriki kutumia vizuri mafunzo hayo ili kuongeza tija katika majukumu yao ya kila siku.

Mafunzo haya yanatarajiwa kumalizika kesho yakijikita katika maeneo mbalimbali ikiwemo uchambuzi wa mahitaji, upangaji shirikishi, utumiaji wa mifumo ya Serikali kama PlanRep, pamoja na mbinu za bajeti inayozingatia matokeo.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA UCHAGUZI October 19, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA SEMINA JIMBO LA NYAMAGANA October 21, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI November 29, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 09, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MBUNGE WA NYAMAGANA AKUTANA NA MENEJIMENTI YA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA

    January 06, 2026
  • UZIO WAVUNJWA MAHINA, BARABARA YA UMMA YAFUNGULIWA.

    December 30, 2025
  • WATENDAJI WA KATA NA MITAA JIJINI MWANZA WAHIMIZWA UWAJIBIKAJI KATIKA UKUSANYAJI WA MAPATO

    December 30, 2025
  • WATENDAJI WA KATA NA MITAA JIJINI MWANZA WAHIMIZWA UWAJIBIKAJI KATIKA UKUSANYAJI WA MAPATO

    December 30, 2025
  • Tazama Zote

Video

Ziara
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.