• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

DC NYAMAGANA AENDESHA MIKUTANO YA HADHARA NA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI KATIKA KATA YA IGOMA NA MHANDU

Posted on: November 20th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana Mhe. Amina Makilagi amefanya mikutano ya hadhara katika Kata ya Igoma na Kata ya Mhandu kwa lengo la kusikiliza na kutatua kero za wananchi.

Mikutano hiyo imefanyika keo Novemba 20, 2025 ambapo Wananchi walipata nafasi ya kueleza changamoto mbalimbali zinazowakabili, zikiwemo ukosefu wa ajira kwa vijana, gharama kubwa za uunganishaji wa miundombinu ya umeme ukilinganisha na vijijini, pamoja na tatizo la uchafuzi wa mazingira.

Aidha katika mikutano hiyo, DC aliwahakikishia wananchi kuwa serikali inaendelea kuchukua hatua kuhakikisha kero hizo zinapatiwa ufumbuzi wa kudumu. Aidha, alizisisitiza mamlaka husika kuendelea kuimarisha huduma ili kuhakikisha wananchi wanapata maendeleo wanayostahili.

Akizungumzia suala la usalama na amani, DC aliwakumbusha wananchi umuhimu wa kudumisha utulivu katika maeneo yao. Aliwataka vijana kuepuka kujihusisha na vitendo vya uhalifu vinavyoweza kuhatarisha amani, akibainisha kuwa uhalifu ni kosa kisheria na kwamba mtu yeyote atakayebainika kukiuka sheria atachukuliwa hatua kali bila kuonea upande.

DC alihitimisha mikutano hiyo kwa kuwataka wananchi kuendelea kushirikiana na serikali katika kulinda miundombinu, kutunza mazingira na kutoa taarifa pindi panapotokea viashiria vya uvunjifu wa amani.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA UCHAGUZI October 19, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA SEMINA JIMBO LA NYAMAGANA October 21, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI November 29, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 09, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MBUNGE WA NYAMAGANA AKUTANA NA MENEJIMENTI YA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA

    January 06, 2026
  • UZIO WAVUNJWA MAHINA, BARABARA YA UMMA YAFUNGULIWA.

    December 30, 2025
  • WATENDAJI WA KATA NA MITAA JIJINI MWANZA WAHIMIZWA UWAJIBIKAJI KATIKA UKUSANYAJI WA MAPATO

    December 30, 2025
  • WATENDAJI WA KATA NA MITAA JIJINI MWANZA WAHIMIZWA UWAJIBIKAJI KATIKA UKUSANYAJI WA MAPATO

    December 30, 2025
  • Tazama Zote

Video

Ziara
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.