• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

DC AWATAKA WANANCHI KUSHIRIKI KATIKA UZINDUZI WA MIRADI

Posted on: June 2nd, 2025

Katika kuendeleza juhudi za maendeleo ya jamii, Mkuu wa Wilaya  ya Nyamagana Mhe. Amina Makilagi ametoa wito kwa wananchi kujitokeza kwa wingi kushiriki katika uzinduzi wa miradi mbalimbali ya kijamii.

Akizungumza na wenyeviti wa mitaa na watendaji wa Kata na Mitaa katika kikao kazi kilichofanyika katika Ukumbi mkubwa wa Jiji June 2, 2025 amesema ushiriki wa wananchi si tu kwamba unaongeza uwazi na uwajibikaji, bali pia unajenga umiliki wa miradi hiyo na kuhakikisha utekelezaji wake unaleta tija kwa jamii nzima.

Akizungumza katika kikao cha maandalizi ya uzinduzi wa miradi hiyo, DC alisema kuwa serikali imekuwa ikiwekeza rasilimali nyingi katika miradi ya afya, elimu, maji na miundombinu, hivyo ni muhimu kwa wananchi kushiriki kikamilifu siyo tu kwenye uzinduzi, bali pia katika ufuatiliaji wa utekelezaji.

"Miradi hii ni kwa manufaa ya wananchi wote. Tukiwa na ushirikiano wa karibu kati ya serikali na wananchi, tutahakikisha miradi inatekelezwa kwa viwango vya juu na ndani ya muda uliopangwa," alieleza DC.

Aidha, alisisitiza kuwa uzinduzi wa miradi ni sehemu ya uwazi wa serikali katika kuonesha matumizi ya fedha za umma na mafanikio ya utekelezaji wa mipango ya maendeleo na kuutaja mradi wa Maji Butimba kuwa ndio utakaozinduliwa.

Kwa upande wao, Wenyeviti na watendaji  walioshiriki katika kikao hicho walieleza kufurahishwa na hatua ya serikali kuwashirikisha wananchi moja kwa moja, wakiahidi kwenda kutoa Elimu juu ya umuhimu wa kushiriki katika zoezi la uzinduzi wa miradi na kuhakikisha wananchi wanajitokeza kwa wingi.

Matangazo ya Kawaida

  • JITOKEZE KUJIANDIKISHA October 16, 2024
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA MAENEO YA BIASHARA KATIKA SOKO KUU December 14, 2024
  • UPANGISHAJI WA MAENEO MBALIMBALI YA BIASHARA SOKO KUU May 29, 2025
  • TANGAZO LA MAPENDEKEZO YA SHERIA NDOGO ZA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA July 10, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • HANANG' WAJIFUNZA MBINU ZA KUONGEZA MAPATO KUTOKA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KUPITIA STENDI KUU YA MABASI NYEGEZI

    June 10, 2025
  • DC AWATAKA WANANCHI KUSHIRIKI KATIKA UZINDUZI WA MIRADI

    June 02, 2025
  • MHE. MAKILAGI AONGOZA ZOEZI LA USAFI BUHONGWA KATIKA UZINDUZI WA WIKI YA MAZINGIRA

    May 31, 2025
  • "SEKTA YA ELIMU HAITAWEZA KUSONGA MBELE KWA MCHANGO WA KUNDI MOJA " , MMHE. MAKILAGI

    May 30, 2025
  • Tazama Zote

Video

Ziara
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.