• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

Serikali Yatenga Bilioni 12 Kukamilisha Ujenzi wa Jengo la Ghorofa Tano Hospitali ya Wilaya ya Nyamagana

Posted on: July 4th, 2025

Serikali kupitia Wizara ya Afya imetenga shilingi bilioni 12 kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa jengo la ghorofa tano katika Hospitali ya Wilaya ya Nyamagana, mkoani Mwanza.

Akizungumza na watumishi wa hospitali hiyo, Katibu wa Wizara ya Afya, Mhe. Tumaini Nagwa, alisema fedha hizo zinatokana na mapato ya ndani pamoja na ruzuku kutoka serikali kuu.

“Kukamilika kwa jengo hili kutasaidia kupunguza msongamano wa wagonjwa na kuongeza ufanisi wa utoaji wa huduma za afya kwa wananchi,” alieleza Mhe. Nagwa.

Kwa mujibu wa mhandisi ambaye ni msimamizi wa mradi, Bi. Ester Shayo, tayari zaidi ya shilingi milioni 400 zimepokelewa na kutumika, huku ghorofa ya kwanza ikitarajiwa kutumia zaidi ya bilioni 1.2.

Katika ziara hiyo, Mhe. Nagwa pia alitembelea Kituo cha Afya cha Mkolani, na kufurahishwa na ufanisi wa huduma zinazotolewa. Alitoa wito kwa Daktari Mkuu kuhakikisha ujenzi wa maabara ya kisasa unaanza haraka ili kuongeza ubora wa huduma kwa wagonjwa wanaofika kituoni hapo.

 “Ni muhimu kuhakikisha kituo hiki kinakuwa na maabara bora kwa ajili ya kutoa huduma sahihi na salama kwa wananchi,” alisema.

Kwa upande wake, Bi. Khadija Juma, mmoja wa wananchi waliopokea huduma katika kituo hicho, aliishukuru serikali kwa maboresho yanayoendelea kufanyika katika sekta ya afya.

“Sasa hivi tunapata huduma ya uzazi kwa usahihi na usalama wa hali ya juu kabisa,” alisema kwa furaha.

Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan imeendelea kuwekeza kwa kiwango kikubwa katika miundombinu ya afya, ikiwa ni sehemu ya dhamira ya kuhakikisha huduma bora zinamfikia kila Mtanzania. 

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA RATIBA YA KUINGIA KWA WAPANGAJI WA MAENEO MBALIMBALI YA SOKO KUU. June 29, 2025
  • TANGAZO LA MAPENDEKEZO YA SHERIA NDOGO ZA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA July 10, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA (MCHUJO) KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA II - MWANZA JIJI April 29, 2023
  • KUITWA KAZINI NAFASI YA MEO III, MWANDISHI MWENDESHA OFISI II, RMA II na DEREVA II January 08, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Serikali Yatenga Bilioni 12 Kukamilisha Ujenzi wa Jengo la Ghorofa Tano Hospitali ya Wilaya ya Nyamagana

    July 04, 2025
  • HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KWA KUSHIRIKIANA NA RAILWAY CHILDREN AFRICA YAPANGA MIKAKATI YA KUKABILIANA NA WATOTO WA MTAANI

    June 26, 2025
  • HANANG' WAJIFUNZA MBINU ZA KUONGEZA MAPATO KUTOKA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KUPITIA STENDI KUU YA MABASI NYEGEZI

    June 10, 2025
  • DC AWATAKA WANANCHI KUSHIRIKI KATIKA UZINDUZI WA MIRADI

    June 02, 2025
  • Tazama Zote

Video

Ziara
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.