• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

HANANG' WAJIFUNZA MBINU ZA KUONGEZA MAPATO KUTOKA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KUPITIA STENDI KUU YA MABASI NYEGEZI

Posted on: June 10th, 2025

Stendi kuu ya mabasi Nyegezi imekuwa mfano bora wa usimamizi wa miundombinu ya usafiri wa umma, na hivyo kuvutia viongozi kutoka Halmashauri nyingine kutembelea na kujifunza pamoja na kubadilishana uzoefu, kuiga mbinu bora na kujenga ushirikiano wa kikazi baina ya halmashauri.

Juni 10,2025 Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango ya Halmashauri ya Wilaya ya Hanang imefanya ziara ya mafunzo katika Halmashauri ya Jiji la Mwanza kwa lengo la kujifunza mbinu bora za kuongeza mapato, hasa kupitia usimamizi wa stendi kuu ya mabasi Nyegezi.

Katika ziara hiyo, wajumbe wa kamati waliambatana na Waheshimiwa Madiwani, Wataalamu pamoja na Wakuu wa Idara na Vitengo mbalimbali kutoka Hanang. Wakiwa Jijini Mwanza, wametembelea stendi kuu ya mabasi ya Nyegezi ambapo walijionea kwa vitendo namna ya uendeshaji wa stendi hiyo na jinsi teknolojia ya kisasa inavyotumika katika ukusanyaji wa mapato.

Kwa upande wake Meneja wa Stendi kuu ya mabasi Nyegezi  Bw. Fredrick Machugu waliwasilisha taarifa juu ya mikakati inayotumika kuboresha mapato, ikiwa ni pamoja na usimamizi wa mifumo ya kidigitali na uwazi katika ukusanyaji na ushirikishwaji wa wadau wote katika sekta ya usafiri wa abiria.

Aidha ziara hiyo imetoa fursa kwa viongozi na watendaji wa Halmashauri ya Hanang kuona kwa macho yao mifumo inayofanya kazi kwa ufanisi na kuelewa jinsi wanavyoweza kuitafsiri na kuitumia kwenye halmashauri yao. Pia imesaidia kuimarisha mahusiano kati ya halmashauri hizi mbili kwa lengo la kuendeleza ushirikiano wa kitaalamu na kimaendeleo.

Kupitia ziara hii ya kimafunzo, Halmashauri ya Wilaya ya Hanang imepata maarifa muhimu ya kuboresha mbinu za ukusanyaji mapato kupitia usimamizi bora wa stendi za mabasi. Uzoefu walioupata Mwanza utasaidia kuleta mabadiliko chanya katika mifumo ya mapato ya Hanang, hatimaye kuinua huduma kwa wananchi na kukuza maendeleo ya halmashauri yao.

Matangazo ya Kawaida

  • JITOKEZE KUJIANDIKISHA October 16, 2024
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA MAENEO YA BIASHARA KATIKA SOKO KUU December 14, 2024
  • UPANGISHAJI WA MAENEO MBALIMBALI YA BIASHARA SOKO KUU May 29, 2025
  • TANGAZO LA MAPENDEKEZO YA SHERIA NDOGO ZA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA July 10, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • HANANG' WAJIFUNZA MBINU ZA KUONGEZA MAPATO KUTOKA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KUPITIA STENDI KUU YA MABASI NYEGEZI

    June 10, 2025
  • DC AWATAKA WANANCHI KUSHIRIKI KATIKA UZINDUZI WA MIRADI

    June 02, 2025
  • MHE. MAKILAGI AONGOZA ZOEZI LA USAFI BUHONGWA KATIKA UZINDUZI WA WIKI YA MAZINGIRA

    May 31, 2025
  • "SEKTA YA ELIMU HAITAWEZA KUSONGA MBELE KWA MCHANGO WA KUNDI MOJA " , MMHE. MAKILAGI

    May 30, 2025
  • Tazama Zote

Video

Ziara
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.