• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

WAZIRI ATOA ELIMU KWA WANANCHI JUU YA ZOEZI LA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA MAKAZI

Posted on: October 15th, 2024


Akizungumza na waandishi wa habari pamoja na watumishi wa Halmashauri ya jiji la Mwanza Jana  tarehe 15/10/2024 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais- TAMISEMI Mhe. Mohamed Omary Mchengerwa, amewataka wananchi kutochanganya kati Uandikishaji Katika Daftari la Tume huru ya Uchaguzi linahusisha uchaguzi wa Rais, wabunge na Madiwani na daftari la Makazi linahusisha uchaguzi wa Wenye viti wa serikali za mitaa na wajumbe wanaounda serikali hiyo.

Aidha ameeleza kuwa zoezi linaloendelea hivi sasa linahusisha  uchaguzi wa viongozi ngazi za mitaa na kwamba mtanzania yoyote mwenye umri wa kuanzia miaka 18 na kuendelea anayo sifa ya kujiandikisha na kushiriki Uchaguzi ifikapo tarehe 27 Novemba 2024 pia  anayo haki ya kuchagua au kuchaguliwa.

Waziri Mchengerwa ametoa wito kwa wananchi kujitokeza kwa wingi kwenda kujiandikisha Katika daftari la Makazi ili kupata haki yao kikatiba ya kuwachagua viongozi wa serikali za mitaa.

Pia Waziri amewataka viongozi wa vyama vyote 19 vitakavyoshiriki uchaguzi huo kuendelea kutoa Elimu kwa wananchi juu ya uandikishaji na kuwahamasisha kushiriki kikamilifu kwa kuwa ni haki yao kikatiba.

Sambamba na hilo Waziri ametoa ufafanuzi juu ya taarifa zinazosambaa kuwa TAMISEMI haijatoa elimu toshelezi kwa wananchi juu zoezi hili, kwa upande wake amesema kuwa suala la Uchaguzi lipo kikatiba na liko katika kalenda ya mwaka  na kusisitiza kuwa  kazi ya kutoa elimu imefanyika kwa kiwango cha juu kuanzia ngazi ya TAMISEMI hadi mtaa.

Waziri Mchengerwa  amevipongeza vyombo vya habari kwa namna vinavyoshiriki Katika kutoa elimu kwa wananchi kupitia vipindi mbalimbali na kuwaomba zoezi hilo liwe endelevu ili kuwafikia wananchi wote na kuongeza  kuwa zipo taasisi  zaidi ya 83 zilizoko sehemu mbalimbali ambazo jukumu lao ni kutoa elimu kwa wananchi.

Vilevile ametoa ufafanuzi juu ya taarifa zinazosambaa Katika mitandao ya kijamii kuwa kuna vituo bandia, amesema kuwa taarifa hizo si za kweli na zinalenga kuvuruga zoezi la Uchaguzi

Waziri Mchengerwa amewaomba viongozi wa vyama vya siasa na wananchi kufuata kanuni za uchaguzi zinazoelekeza juu ya suala zima la Uchaguzi.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA RATIBA YA KUINGIA KWA WAPANGAJI WA MAENEO MBALIMBALI YA SOKO KUU. June 29, 2025
  • TANGAZO LA MAPENDEKEZO YA SHERIA NDOGO ZA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA July 10, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA (MCHUJO) KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA II - MWANZA JIJI April 29, 2023
  • KUITWA KAZINI NAFASI YA MEO III, MWANDISHI MWENDESHA OFISI II, RMA II na DEREVA II January 08, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KWA KUSHIRIKIANA NA RAILWAY CHILDREN AFRICA YAPANGA MIKAKATI YA KUKABILIANA NA WATOTO WA MTAANI

    June 26, 2025
  • HANANG' WAJIFUNZA MBINU ZA KUONGEZA MAPATO KUTOKA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KUPITIA STENDI KUU YA MABASI NYEGEZI

    June 10, 2025
  • DC AWATAKA WANANCHI KUSHIRIKI KATIKA UZINDUZI WA MIRADI

    June 02, 2025
  • MHE. MAKILAGI AONGOZA ZOEZI LA USAFI BUHONGWA KATIKA UZINDUZI WA WIKI YA MAZINGIRA

    May 31, 2025
  • Tazama Zote

Video

Ziara
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.