• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

RC MTANDA ASISITIZA UKAMILISHAJI WA SHULE YA AMALI KISHIRI NDANI YA WIKI TATU

Posted on: February 12th, 2026

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe. Said Mtanda, Februari 12, 2026 ameweka jiwe la msingi katika ujenzi wa Shule ya Msingi ya Amali iliyopo Kata ya Kishiri, Jijini Mwanza.

Baada ya kukagua mradi huo, ameagiza Halmashauri ya Jiji la Mwanza kuhakikisha ujenzi unakamilika ndani ya wiki tatu kama ilivyopangwa.

Amesema kukamilika kwa shule hiyo kwa wakati kutawawezesha wanafunzi kuanza masomo katika mazingira bora na rafiki kwa maendeleo yao ya kitaaluma na kijamii.

“Muda uliopangwa uzingatiwe. Shule ianze kufanya kazi mara tu baada ya kukamilika,” amesisitiza.

Katika hafla hiyo, RC Mtanda pia ameipongeza Shule ya Sekondari Igoma kwa kuongoza kiwilaya katika matokeo ya Kidato cha Nne 2025 Wilaya ya Nyamagana.

Akisoma taarifa ya mradi, Mwalimu Mkuu wa Sekondari Igoma, Anthony Masanja, amesema shule ilipokea Shilingi 330,700,000 kupitia Mradi wa BOOST tarehe 1 Julai 2025.

Ameeleza kuwa hadi sasa utekelezaji umefikia asilimia 75, ambapo Shilingi 258,600,000 zimetumika na Shilingi 72,100,000 zimesalia kukamilisha kazi zilizobaki.

Mradi unasimamiwa na Ofisi ya Mhandisi wa Jiji la Mwanza, huku mkandarasi akiwa Ndugu Eliawony Makundi.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA UCHAGUZI October 19, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA SEMINA JIMBO LA NYAMAGANA October 21, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI November 29, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 09, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC MTANDA AFANYA ZIARA YA MIRADI MWANZA, ASISITIZA KASI NA UWAZI WA UTEKELEZAJI

    February 12, 2026
  • MKUU WA MKOA AIPONGEZA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KWA MKAKATI WA KUTOKOMEZA UHABA WA MADAWATI

    February 12, 2026
  • RC MTANDA ASISITIZA UKAMILISHAJI WA SHULE YA AMALI KISHIRI NDANI YA WIKI TATU

    February 12, 2026
  • KATIBU TAWALA NYAMAGANA AWAHIMIZA WADAU WA BIASHARA KUSHIRIKIANA KUKUZA UCHUMI

    February 11, 2026
  • Tazama Zote

Video

Ziara
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.