• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

WATANZANIA WAASWA KUHESHIMU SEKTA BINAFSI

Posted on: December 5th, 2025

Akizungumza na wananchi wa Mkoa wa Mwanza hususani wa Wilaya ya Nyamagana Leo Disemba 5 , 2025 katika uwanja wa Nyamagana Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck  Nchemba ( Mb) amesema Tanzania inapaswa kuheshimu sekta binafsi kwani kupitia sekta binafsi ajira mbalimbali huzalishwa. Leo hii unaenda kuharibu sekta binafsi ajira za baadhi ya watu zitapatikana kweli?. Waziri Mkuu amesema.

‎"Hakuna serikali inayoweza kuajili wananchi wake wote serikalini, Watanzania yatupasa tuelewe umuhimu wa sekta binafsi kwani sekta hii ni muhimu sana nchini kwetu wapo vijana ambao wameajiliwa kupitia sekta binafsi lazima tuziheshimu na tuelewe umuhimu wake , wapo watu watoto wao wamesomeshwa kupitia sekta binafsi sababu ya ajira tuzilinde na sio kuziharibu"

Aidha katika Mkutano huo wa Hadhara ambao ulikuwa na Lengo la kueleza hali ya kiusalama nchini kwa Yale yaliyotokea  Oktoba 29 Waziri Mkuu amesema Watanzania twapaswa kulinda amani na Utulivu wa nchi yetu kwani bila uwepo wa amani tatizo la umasikini ni ngumu kutatuliwa.

‎"Uwezi kupata kipato Cha Kutosha kama nchi yetu Haina Amani , huwezi kwenda kuzalisha kama nchi yetu Haina Amani watanzania yatupasa kulinda amani yetu"

Sanjari na hayo pia Waziri Mkuu ameelekeza Wizara ya ujenzi kuhakikisha mkandarasi anaesimamia daraja la mkuyuni linakamilika kwa wakati ili shughuli mbalimbali za huzalishaji ziweze kuendelea.

"Nimesikia hapa Kuna daraja linasuasua naomba nielekeze Wizara ya Ujenzi kuhakikisha daraja ili linakamilika kwa wakati nitakapo rudi kwa ziara ya kikazi nikute mambo yamekamilika"

‎Pia Waziri Mkuu amegusia suala la uadilifu kazini kwani kupitia udalifu uzembe katika kazi utakomeshwa.

‎"Niwambie Tutashughulika na Wazembe hatuko tayari Kuona wananchi wanateseka na uwepo wa watu Wazembe tutashughulika nao"

Katika ziara hiyo Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.Said Mtanda amewashukuru Wakazi wa Mwanza kuwa Mstari wa mbele kufata Maagizo yaliyokuwa yanatolewa na serikali kutokana na vurugu zilizojitokeza Oktoba 29 kama vile kukaa ndani wakati wa vurugu.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA UCHAGUZI October 19, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA SEMINA JIMBO LA NYAMAGANA October 21, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI November 29, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 09, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MBUNGE WA NYAMAGANA MH. JOHN NZILANYINGI ATEMBELEA WAATHIRIKA WA MAFURIKO KATA YA MIRONGO

    January 09, 2026
  • MKURUGENZI WA JIJI LA MWANZA AKAGUA MIUNDOMBINU YA KIMKAKATI NYAMAGANA.

    January 07, 2026
  • MBUNGE WA NYAMAGANA AKUTANA NA MENEJIMENTI YA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA

    January 06, 2026
  • UZIO WAVUNJWA MAHINA, BARABARA YA UMMA YAFUNGULIWA.

    December 30, 2025
  • Tazama Zote

Video

Ziara
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.