• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

WASIMAMIZI WA MIRADI YA TASAF WATAKIWA KUWA WAZALENDO

Posted on: March 19th, 2025

Katika kuhakikisha miradi inatekelezwa kulingana na malengo na viwango vya ubora vilivyowekwa, kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya ya Nyamagana imefanya ziara kufuatilia na kutathmini utekelezaji wa miradi inayofadhiliwa na TASAF.

Ziara hiyo imefanyika March 19,2025 ikiongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana Mhe. Amina Makilagi ambaye ni mwenyekiti wa Kamati  hiyo na kuwataka wasimamizi wa miradi ngazi zote kuwa wazalendo na kuhakikisha miradi wanayoisimamia inaleta tija katika jamii na Taifa kwa ujumla.

Kamati imekagua miradi 13 ya Elimu na Afya katika kata tano yenye thamani ya kiasi cha Shilingi 2,455,803,035.25 na kuridhishwa na mwenendo wa utekelezaji wa miradi hiyo pamoja na kumpongeza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza kwa namna anavyosimamia na kuhakikisha miradi inaleta tija katika jamii.

Miradi iliyokaguliwa ni pamoja na Ujenzi wa Jengo la Utawala (122,513,515.00), Bwalo (171,716,392.85),Bweni (175,116,662.84) Shule ya Sekondari Nyamagana- Butimba, Ujenzi wa mabweni mawili Shule ya Sekondari Mahina(355,237,120.00), Jengo la OPD (183,562,392.00), Jengo la upasuaji (148,551,857.00) Zahanati ya Mahina, Ujenzi wa Barabara ya mawe yenye urefu wa mita 426 (249,229,545.45) kata ya Mhandu, Ujenzi wa mabweni mawili (335,072,880.00),Bwalo (147,853,599.00),Vyumba vitatu vya madarasa,Ofisi,matundu 6 ya vyoo (114,167,250.00) Shule ya Sekondari Shamaliwa – Igoma na Ujenzi wa Jengo la IPD (156,008,731.16), Jengo la upasuaji ( 129,116,492.85 na Jengo la OPD (167,656,797.10) Zahanati ya Fumagila - Kishiri.

Aidha mwenyekiti wa Kamati kwa niaba ya Kamati nzima ya Ulinzi na Usalama amewapongeza na kuwashukuru wanakamati wanaosimamia miradi katika kata zote na kuwataka kutokata tamaa badala yake watimize wajibu na kuhakikisha miradi yote inakamilika na kuanza kutoa huduma kwa wakati.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA RATIBA YA KUINGIA KWA WAPANGAJI WA MAENEO MBALIMBALI YA SOKO KUU. June 29, 2025
  • TANGAZO LA MAPENDEKEZO YA SHERIA NDOGO ZA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA July 10, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA (MCHUJO) KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA II - MWANZA JIJI April 29, 2023
  • KUITWA KAZINI NAFASI YA MEO III, MWANDISHI MWENDESHA OFISI II, RMA II na DEREVA II January 08, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KWA KUSHIRIKIANA NA RAILWAY CHILDREN AFRICA YAPANGA MIKAKATI YA KUKABILIANA NA WATOTO WA MTAANI

    June 26, 2025
  • HANANG' WAJIFUNZA MBINU ZA KUONGEZA MAPATO KUTOKA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KUPITIA STENDI KUU YA MABASI NYEGEZI

    June 10, 2025
  • DC AWATAKA WANANCHI KUSHIRIKI KATIKA UZINDUZI WA MIRADI

    June 02, 2025
  • MHE. MAKILAGI AONGOZA ZOEZI LA USAFI BUHONGWA KATIKA UZINDUZI WA WIKI YA MAZINGIRA

    May 31, 2025
  • Tazama Zote

Video

Ziara
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.