• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

WAKILI KIBAMBA ASISITIZA NIDHAMU ENEO LA KAZI

Posted on: May 8th, 2025
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza, Wakili Kiomoni Kibamba ameongoza kikao kazi kilichowakutanisha watumishi wote wa makao makuu ya Halmashauri kwa lengo la kutoa maelekezo, maagizo, kuwakumbusha  majukumu na kuhimiza uwajibikaji.
 
Kikao hicho kimefanyika leo Mei 8, 2025 katika ukumbi wa Gandh Hall na kusisitiza  nidhamu  kwa kuwa ni msingi wa kwanza wa mafanikio katika mahali pa kazi na kuongeza kuwa kila mtumishi anatakiwa kuipenda, kuiheshimu na kuithamini Kazi na nafasi alinayonayo.
“Onyesha upo, siyo kwa kuitika jina, onyesha umuhimu wako kwenye nafasi uliyonayo,” amesema Kibamba.

Vilevile Kibamba amehimiza suala la usafi wa mazingira katika maeneo mbalimbali ndani ya Halmashauri na kuwataka watendaji wa mitaa kuhakikisha maeneo yote ndani ya mitaa yao yanakuwa safi sambamba na kuwachukulia hatua wale wote wanaokiuka  sheria na kanuni za usimamizi wa mazingira.

Aidha Kibamba amesisitiza ukusanyaji wa mapato na kuelekeza kuwa kuanzia jumatatu watumishi wote watatakiwa kushiriki zoezi hilo.
 “Nataka tugawane mitaa kuanzia asubuhi mpaka saa kumi jioni, tukatembelee kila Biashara tukakague leseni, biashara mpya na  kodi ya huduma(service levy) kwa kutumia balozi system.” Alisema Kibamba
 
Kikao kilitoa fursa kwa watumishi kuelezea changamoto zinazowakabili katika mazingira ya kazi ambapo baadhi ya changamoto ni pamoja na upungufu wa vitendea Kazi ambapo Wakili Kiomoni amezipokea na kuwaagiza wahusika kuhakikisha wanashughulikia changamoto zote kwa wakati.

Katika hatua nyingine Kibamba ameahidi kumaliza kabisa changamoto ya madawati kwa shule za Msingi na Sekondari.
“ kuna changamoto kubwa ya madawati Shule za Msingi  na Sekondari, kwa mwaka huu nataka na nimedhamilia kufikia Juni 30,2025 niwe nimepeleka fedha kwa ajili ya utengenezaji wa madawati yote yanayotakiwa kwa shule za Sekondari, na kwa shule za Msingi kabla ya Julai nataka kumaliza changamoto hiyo…..” amesema Kibamba
 
Kibamba amesisitiza umuhimu wa mshikamano na ushirikiano baina ya watumishi, ubunifu katika utoaji wa huduma na kuzingatia maadili ya utumishi wa umma.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA WAOMBAJI AMBAO HAWAJAWASILISHA TAARIFA ZAO KWA AJILI YA MNADA April 30, 2025
  • JITOKEZE KUJIANDIKISHA October 16, 2024
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA MAENEO YA BIASHARA KATIKA SOKO KUU December 14, 2024
  • TANGAZO LA KUPEWA NA KUINGIZWA KATIKA MFUMO WA TAUSI -UPANGISHAJI WA SOKO KUU MWANZA February 21, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WAKILI KIBAMBA ASISITIZA NIDHAMU ENEO LA KAZI

    May 08, 2025
  • WAWEZESHAJI WATOA MBINU ZA UFUNDISHAJI WA SOMO LA KIINGEREZA KUONGEZA UFAULU NYAMAGANA

    May 05, 2025
  • WAJUMBE WA MABARAZA YA KATA WATAKIWA KUTIMIZA WAJIBU WAO KWA HAKI

    March 26, 2025
  • DC NYAMAGANA MTAA KWA MTAA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI

    March 28, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya wiki ya utumishi wa Umma Halmashauri ya Jiji la Mwanza
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.