• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

Waheshimiwa madiwani wapongeza juhudi zinazofanywa na hifadhi ya kisiwa cha saanane kusimamia hifadhi hiyo

Posted on: July 4th, 2019

Baraza la madiwani la Halmashauri ya Jiji la Mwanza limepongeza juhudi mbalimbali zinazofanywa na Uongozi wa hifadhi ya Kisiwa cha Saa Nane ikiwemo kuboresha miundo mbinu na tafiti zitakazowezesha kuongezeka kwa wanyama na kuvutia zaidi watalii wa ndani  ambao wanaongezeka kwa kasi kubwa .

Pongezi hizo zimetolewa mapema leo wakati wa ziara ambayo imefanywa katika kisiwa hicho kwa lengo la kujifunza na kujionea shughuli mbalimbali ikiwa ni sehemu ya majukumu yao kuisimamia Halmashauri  Kisiwa  cha saa nane kikiwa ni sehemu ya Halmashauri.

Kwa upande wake Mhifadhi Mkuu wa Kisiwa cha saa nane ameshukuru kwa kutembelewa na kuomba asaidiwe kutatuliwa changamoto wanazokumbana nazo kama Hifadhi ikiwepo uvuvi haramu ambao unahatarisha maisha ya viumbe hai waliopo majini na usalama wa maji pia    amesema kuwa ghuba ya  saanane ndipo mazalia ya samaki aina ya Sato yanapatikana

Akiongea kwa upande wa Halmashauri Mwenyekiti wa Kamati ya Mipango miji na Mwakilishi wa Mstahiki Meya ameahidi kuendelea kushirikiana na uongozi wa Hifadhi katika kuzitatua changamoto zinazoikabili hifadhi.

Hifadhi ya Kisiwa cha saa nane inapatikana katika Ziwa Victoria  na inapakana na kuzungukwa na kata ya  Nyamagana, Pamba, Igogo, Mkuyuni, Nyegezi, Luchelele, Butimba, Mkolani kwa Jiji la Mwanza na Nyamatongo Wilaya ya Sengerema

Wakati wa ziara pia iliwakutanisha Katibu wa CCM Mkoa wa Mwanza na Diwani wa Kata ya Mburahati Wilaya ya Ubungo Dar es Salaam ambayo aliambatana na mwenzake raia wa Kichina ambao baadae walipata fursa ya kuzungumza na wah. Madiwani na kuelezea dhamira yao ya kuwekeza Jijini Mwanza upande wa Uvuvi

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA WAOMBAJI AMBAO HAWAJAWASILISHA TAARIFA ZAO KWA AJILI YA MNADA April 30, 2025
  • JITOKEZE KUJIANDIKISHA October 16, 2024
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA MAENEO YA BIASHARA KATIKA SOKO KUU December 14, 2024
  • TANGAZO LA KUPEWA NA KUINGIZWA KATIKA MFUMO WA TAUSI -UPANGISHAJI WA SOKO KUU MWANZA February 21, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MHE. MAKILAGI AONGOZA ZOEZI LA USAFI BUHONGWA KATIKA UZINDUZI WA WIKI YA MAZINGIRA

    May 31, 2025
  • "SEKTA YA ELIMU HAITAWEZA KUSONGA MBELE KWA MCHANGO WA KUNDI MOJA " , MMHE. MAKILAGI

    May 30, 2025
  • MCHENGERWA AWATAKA MAAFISA HABARI KUWA WABUNIFU

    May 23, 2025
  • DKT. DUGANGE AFUNGUA MKUTANO MKUU WA 25 WA LVRLAC, AHIMIZA UONGOZI BORA NA ULINZI WA RASILIMALI ZA ZIWA VICTORIA

    May 26, 2025
  • Tazama Zote

Video

Ziara
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.