• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

WADAU WA MAENDELEO WAKUTANA KUJADILI MPANGO KAMBAMBE WA JIJI LA MWANZA.

Posted on: August 17th, 2024


Mstahiki Meya wa Jiji la Mwanza  Mhe.Sima Costantine Sima amefungua Kikao cha wadau wa maendeleo katika ukumbi wa MITU - NIMR kujadili  utekelezaji wa mpango kabambe  (Master Plan) wa Jiji la Mwanza uliyolenga kuleta maendeleo ya kijamii, kiuchumi na Kisiasa katika Jiji la Mwanza.

Mstahiki Meya wa Jiji la Mwanza ambaye ni mgeni rasmi katika mkutano huu ametumia fursa hiyo kumpongeza Rais Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan ambaye ameanzisha na kukamilisha miradi ya kimkakati ikiwemo ujenzi wa reli ya kisasa ya SGR, ujenzi wa soko la kisasa na ujenzi wa stendi ya mabasi ya Nyegezi ambayo tayari imekwishaanza kufanya kazi.


Mhe.Sima amesema kikao hiki kimewezeshwa na Mradi wa Green Cities  (SASA Project) kupitia kipengele cha mapitio ya utekelezaji wa Mpango Kabambe huu. Ambapo mradi huu umelenga kusaidia uwekezaji wa miundombinu na ukuaji wa uchumi wa ndani na maendeleo kwa ujumla.


"Mpango huu Kabambe ulizinduliwa mwaka 2019 kama dira ya miaka 20 ambayo ilikuwa ni Mwaka 2015-2035 yakusimamia maendeleo ya Jiji la Mwanza, huku ukitoa mwongozo kuhusu matumizi ya aridhi, mindombinu, mawasiliano na uhifadhi wa mazingira na ustahimilivu wa Jiji, ameongeza Mhe.Sima


Vilevile lengo la mpango huu kabambe ni kuboresha huduma za kijamii ikiwa ni pamoja na ujenzi wa reli ya kisasa ya SGR, ujenzi wa Bandari, upanuzi wa uwanja wa Ndege, uendelezaji wa makazi yasiyo rasimi na uboreshaji wa pwani za ziwa Victoria ili kuvutia watalii na wawekezaji wa ndani na nje ya nchi.


Hivyo Mhe.Sima amefafanua kuwa kikao hicho kimelenga kufanya mapitio ya mpango huu ili kufanya tathimini ya kuboresha na kuendeleza usimamizi wa utekelezaji wa mpango kabambe huku akiwataka wadau kutoa maoni yenye tija na manufaa yatakayo wezesha kuutekeleza mpango kabambe.


Amemaliza kwa kuwahakikishia wadau kuwa Serikali imejipanga kuendelea kusimamia na  kuboresha miradi mbalimbali ya maendeleo ambayo itashabihiana na Mpango Kabambe ili kuweza kutimiza ndoto yetu ya kulifanya Jiji la Mwanza kuwa bora na stahimilivu.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA WAOMBAJI AMBAO HAWAJAWASILISHA TAARIFA ZAO KWA AJILI YA MNADA April 30, 2025
  • JITOKEZE KUJIANDIKISHA October 16, 2024
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA MAENEO YA BIASHARA KATIKA SOKO KUU December 14, 2024
  • TANGAZO LA KUPEWA NA KUINGIZWA KATIKA MFUMO WA TAUSI -UPANGISHAJI WA SOKO KUU MWANZA February 21, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WAKILI KIBAMBA ASISITIZA NIDHAMU ENEO LA KAZI

    May 08, 2025
  • WAWEZESHAJI WATOA MBINU ZA UFUNDISHAJI WA SOMO LA KIINGEREZA KUONGEZA UFAULU NYAMAGANA

    May 05, 2025
  • WAJUMBE WA MABARAZA YA KATA WATAKIWA KUTIMIZA WAJIBU WAO KWA HAKI

    March 26, 2025
  • DC NYAMAGANA MTAA KWA MTAA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI

    March 28, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya wiki ya utumishi wa Umma Halmashauri ya Jiji la Mwanza
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.