• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

Upangaji wa machinga wafikia hatua nzuri

Posted on: October 12th, 2021

Zoezi la kuwapanga machinga lafikia hatua nzuri jijini Mwanza.

Mkurugenzi wa halmashauri ya jiji la mwanza ameeleza kuwa  zoezi la kuwapanga wafanya biashara wndogo ndogo (machinga)  linaendelea vizuri na kwa ufasaha ikiwa ni pamoja na kuhakikisha wafanya biashara hao wanapata maeneo rafiki kwa biashara zao.

Akizungumza  kwa niaba ya mkurugenzi, mwenyekiti wa kamati ya upangaji wa wafanya biashara hao Desderius Pole  jana jumatatu tarehe 11 oktoba  2021 katika soko la mchafukuoga  amesema

 “Tulianza kwa kuyatambua maeneo na kuwatambua wafanya biashara wadogo wote waliopo katika jiji letu la mwanza tukishirikiana na uongozi wa machinga mkoa na wilaya. Katika kuwapanga wafanya biashara ndogo tulianza na soko lambugani, milongo na sasa tupo katika soko la mchafukuoga. Tumeboresha miundo mbinu kama vile mifereji ili kuepusha athari zitokanazo na maji pamoja na kusawazisha eneo la soko lakini pia tunavyo vyoo vya kisasa katika soko hili. Kwa sasa zoezi limefikia asilimia sabini  na kueleza  kuwa kufikia tarehe 15 oktoba mwaka huu zoezi litakua limekamilika”.

Kwa upande wao wafanya biashara ndogo ndogo wameeleza furaha yao juu ya jitihada za kuwapanga  kuwa haki imetendeka na  zoezi linaendelea kwa amani na usalama,

“zoezi limeenda vizuri, utaratibu uliotumika ulikua mzuri, haki imetendeka maana ulikua unaitwa majina yako unapewa namba namba na unahakikiwa kisha unatafuta namba yako kwenye eneo baada ya kuipata linakua eneo lako la biashara”. Hammad Athuman

  • Zoezi la kuwapanga wafanya biashara wadogo katika jiji la mwanza lilianza mnamo tarehe  20 septemba 2021, ambapo lilianza kwa kuwatambua wafanya biashara wadogo wote waliopo katika jiji la mwanza na sasa linaendelea kwa kuwapangia  maeneo  yaliyo ainishwa. Hii nikatika kutekeleza agizo la mheshimiwa raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania samia suluhu hassan la kuwapanga wafanya biashara wadogo wote nchini alilolitoa mnamo septemba  2021.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA WAOMBAJI AMBAO HAWAJAWASILISHA TAARIFA ZAO KWA AJILI YA MNADA April 30, 2025
  • JITOKEZE KUJIANDIKISHA October 16, 2024
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA MAENEO YA BIASHARA KATIKA SOKO KUU December 14, 2024
  • TANGAZO LA KUPEWA NA KUINGIZWA KATIKA MFUMO WA TAUSI -UPANGISHAJI WA SOKO KUU MWANZA February 21, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MHE. MAKILAGI AONGOZA ZOEZI LA USAFI BUHONGWA KATIKA UZINDUZI WA WIKI YA MAZINGIRA

    May 31, 2025
  • "SEKTA YA ELIMU HAITAWEZA KUSONGA MBELE KWA MCHANGO WA KUNDI MOJA " , MMHE. MAKILAGI

    May 30, 2025
  • MCHENGERWA AWATAKA MAAFISA HABARI KUWA WABUNIFU

    May 23, 2025
  • DKT. DUGANGE AFUNGUA MKUTANO MKUU WA 25 WA LVRLAC, AHIMIZA UONGOZI BORA NA ULINZI WA RASILIMALI ZA ZIWA VICTORIA

    May 26, 2025
  • Tazama Zote

Video

Ziara la Baraza la Madiwani na Wakuu wa Idara katika Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.