• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

UPANDAJI MITI NYAMAGANA KUELEKEA MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

Posted on: March 6th, 2024

Mkuu Wa Wilaya ya Nyamagana mhe, Amina Nassor  Makilagi  kuelekea  Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani  ambayo huadhimiswa kila mwaka 8, March kwa kushirikiana na madiwani, kamati ya ulinzi na usalama, taasisi na mashirika mbalimbali na wanawake kutoka vikundi mbalimbali wameshiriki katika upandaji miti zaidi ya 1800 iliyopandwa katika shule ya msingi kishiri, Kanenwa na shule ya sekondari Fumagira na hii ni kwa sababu kishiri inawatu wengi hivyo itasaidia kupunguza  hewa ya ukaa  ambayo siyo rafiki kwa afya zetu.

Kutokana na watu kuwa wengi kishiri  Mkuu Wa Wilaya amewaagiza mratibu na timu yake kuhakikisha wanasimamia vyema miti iliyopandwa  ikuwe vizuri kwa manufaa yetu na kizazi kijacho  kwa kuwa TFS wamekuwa wakijitoa kutupatia miti kutoka kwenye vitaru vyao wanavyotumia gharama kuviotesha na hivyo itakuwa vyema tukiwafurahisha  kwa kuitunza.

Naye Diwani Viti maalum wa kata ya kishiri mhe, Magreti Paul ameahidi kutunza miti hiyo  hata kipindi ambapo kutakuwa hamna nvua, tutajitahidi kumwagilizia ili miti ikuwe tupunguze hewa ukaa ambayo ni hatarishi kwenye mazingira yetu.

Vilevile katika kuelekea   maadhimisho ya siku ya  wanawake duniani kwa  kutambua  umuhimu wa  watoto wa kike wamepatiwa taulo za kike  kwa ajili ya kujihifadhi na kumpatia mwalimu mlezi  aweze kuwapatia pindi wakipata changamoto  wakiwa katika mazingira  ya shule.

Pia kwa upande wa Lwanhima  Mkuu wa Wilaya  ameshiriki kupanda miti zaidi ya 500 katika shule ya sekunari Sahwa  na kuwataka wanafunzi kuitunza ili kuwa na mazingira rafiki ya kujisomea na kula matunda ili kuongeza  uwezo wa kufikiri, na amewataka wanafunzi kila mmoja kujichagulia mti wa kuutunza hadi ukue ili kutunza mazingira yetu.

Aidha kikundi cha wanawake kilijitolea kuwapatia wanafunzi taulo za kike kwa ajili ya kujihifadhi kipandi wapatapo changamoto ya hedhi wakiwa  shule na mwalimu mlezi alikabidhiwa box 2 kwa ajili ya matumizi ya watoto wa kike.

Mwisho Mkuu wa wilaya amewataka watoto wote kuhakikisha wanamiliki mti mmoja kwa kila mmoja na kuutunza hadi pindi pale anamaliza shule, nakuwahimiza wazazi wao pia kupanda miti nyumbani  kwa lengo la kupunguza hewa ya ukaa ambayo ni hatari katika mazingira yetu.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA WAOMBAJI AMBAO HAWAJAWASILISHA TAARIFA ZAO KWA AJILI YA MNADA April 30, 2025
  • JITOKEZE KUJIANDIKISHA October 16, 2024
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA MAENEO YA BIASHARA KATIKA SOKO KUU December 14, 2024
  • TANGAZO LA KUPEWA NA KUINGIZWA KATIKA MFUMO WA TAUSI -UPANGISHAJI WA SOKO KUU MWANZA February 21, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WAKILI KIBAMBA ASISITIZA NIDHAMU ENEO LA KAZI

    May 08, 2025
  • WAWEZESHAJI WATOA MBINU ZA UFUNDISHAJI WA SOMO LA KIINGEREZA KUONGEZA UFAULU NYAMAGANA

    May 05, 2025
  • WAJUMBE WA MABARAZA YA KATA WATAKIWA KUTIMIZA WAJIBU WAO KWA HAKI

    March 26, 2025
  • DC NYAMAGANA MTAA KWA MTAA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI

    March 28, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya wiki ya utumishi wa Umma Halmashauri ya Jiji la Mwanza
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.