• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA JIMBO LA NYAMAGANA WAFANYIKA KWA AMANI.

Posted on: November 27th, 2024



Wananchi wa Jimbo la Nyamagana wameshiriki vema zoezi zima la uchaguzi wa serikali za mitaa unaoendelea kote Nchini leo Novemba 27,2024 katika vituo vilivyoandaliwa kwa ajili ya kupiga kura.

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza, Wakili, Kiomoni Kibamba ambaye ni msimamizi mkuu wa uchaguzi Jimbo la Nyamagana ameeleza kuwa wananchi wanajitokeza kwa wingi  kupiga kura kwakuwa ni haki yao kikatiba na uchaguzi unafanyika kwa amani nausalamaa.

Mkurugenzi Kibamba ametoa idadi ya waliyojiandikisha ni watu laki nne na elfu sita (406000) huku vituo 1000 vilitumika katika Mitaa 175 na vyama vilivyogombea ni 16 na vyote vilikuwa na  mawakala na kufanya zoezi la uchaguzi kuwa vizuri.

Awali  vyama vya upinzani vilivyokuwa vinataka kuwasimamisha wagombea wao kama mawakala ikiwa haikubaliki ni kinyume cha sheria na kanuni no 35(6) ya kanuni za Serikali za Mitaa ya Kanuni no 577 ya mwaka 2024 hivyo walileta watu wengine mbadala wakaapiswa na uchaguzi ukaendelea .

Vilevile  Ameeleza kuwa waliyodhani kuna vituo vya ziada havipo bali uchaguzi wa mwaka huu unafanywa kwa falsafa ya R4 za Mhe, Dkt.Samia Suluhu Hasan ambazo alitoa kwa viongozi namna ya kuongoza, kuwasikiliza na kuwahudumia. 

Kwa upande wake Shekhe Haji Othmani Masasi Katibu wa Baraza la Waislam Mkoa wa Mwanza, amekili kuwa wananchi walikuwa na mwitikio chanya wa kupiga kura nakuwaomba ambao hawajapiga waende wakapige na ambao wamemaliza kupiga waende nyumbani wakatulie wasubili matokeo.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA WAOMBAJI AMBAO HAWAJAWASILISHA TAARIFA ZAO KWA AJILI YA MNADA April 30, 2025
  • JITOKEZE KUJIANDIKISHA October 16, 2024
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA MAENEO YA BIASHARA KATIKA SOKO KUU December 14, 2024
  • TANGAZO LA KUPEWA NA KUINGIZWA KATIKA MFUMO WA TAUSI -UPANGISHAJI WA SOKO KUU MWANZA February 21, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WAKILI KIBAMBA ASISITIZA NIDHAMU ENEO LA KAZI

    May 08, 2025
  • WAWEZESHAJI WATOA MBINU ZA UFUNDISHAJI WA SOMO LA KIINGEREZA KUONGEZA UFAULU NYAMAGANA

    May 05, 2025
  • WAJUMBE WA MABARAZA YA KATA WATAKIWA KUTIMIZA WAJIBU WAO KWA HAKI

    March 26, 2025
  • DC NYAMAGANA MTAA KWA MTAA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI

    March 28, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya wiki ya utumishi wa Umma Halmashauri ya Jiji la Mwanza
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.