• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

TAARIFA ZA UKUSANYAJI TAKA KUBORESHWA- MWANZA

Posted on: July 8th, 2024

Ndg. Thomas Aikaruwa Mtaalam wa Mradi - Elimu na Ujuzi kutoka Shirika la Maendeleo la Ujerumani ENABEL, chini ya program ya Green and Smart Cities SASA ameongoza kikao kazi kilichohusisha wajumbe kutoka Manispaa ya Ilemela na Halmashauri ya Jiji la Mwanza katika ukumbi wa Ofisi za Enabel- Mwanza Leo tarehe 08 Julai, 2024

Kikao hicho chenye dhima ya kuanzisha tovuti itakayoshehenezwa  taarifa mbalimbali zinazohusiana na masuala ya  ukusanyaji taka katika Manispaa ya Ilemela na Halmashauri ya Jiji la Mwanza.  Pia kikao hicho kimehusisha washiriki kutoka  Idara ya Mazingira, Tehama na Mawasiliano Serikalini.

Akizungumza katika kikao hicho Ndg. Thomas Aikaruwa amesema, "Tovuti hiyo tutakayoianzisha itaonesha taarifa zote za ukusanyaji wa takataka, idadi ya dampo na Mahali zilipo, kujaa kwa dampo husika na aina ya taka zinazokusanywa kwa lengo la kuhakikisha maeneo yote kwa Manispaa ya Ilemela na Halmashauri ya Jiji la Mwanza yanakuwa safi na salama kwa afya ya wananchi wageni na waishio katika maeneo husika". 

Akichangia katika kikao hicho Bi. Zamda Gwanko Afisa Tehama Halmashauri ya Jiji la Mwanza amesema kuwa kuna umuhimu wa kuzingatia taratibu zote za eGA ili kupata kibali kitakacho ruhusu tovuti hiyo kuanza kazi rasmi.

Katika kuhitimisha kikao hicho, wajumbe wote wamebaini umuhimu na faida za uwepo wa tovuti hiyo na kuridhika na uanzishwaji wake na kukubaliana kutoa ushirikiano hasa katika upatikanaji wa takwimu za idadi ya mitaa, kata na idadi ya dampo zinazotumika katika kukusanya taka.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA WAOMBAJI AMBAO HAWAJAWASILISHA TAARIFA ZAO KWA AJILI YA MNADA April 30, 2025
  • JITOKEZE KUJIANDIKISHA October 16, 2024
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA MAENEO YA BIASHARA KATIKA SOKO KUU December 14, 2024
  • TANGAZO LA KUPEWA NA KUINGIZWA KATIKA MFUMO WA TAUSI -UPANGISHAJI WA SOKO KUU MWANZA February 21, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WAKILI KIBAMBA ASISITIZA NIDHAMU ENEO LA KAZI

    May 08, 2025
  • WAWEZESHAJI WATOA MBINU ZA UFUNDISHAJI WA SOMO LA KIINGEREZA KUONGEZA UFAULU NYAMAGANA

    May 05, 2025
  • WAJUMBE WA MABARAZA YA KATA WATAKIWA KUTIMIZA WAJIBU WAO KWA HAKI

    March 26, 2025
  • DC NYAMAGANA MTAA KWA MTAA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI

    March 28, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya wiki ya utumishi wa Umma Halmashauri ya Jiji la Mwanza
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.