• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

"Serikali inafanya Juhudi kubwa kuimarisha afya ya Mama na Mtoto" Mheshimiwa Ummy Mwalimu.Waziri wa Afya,Jinsia na watoto

Posted on: July 11th, 2018

Mheshimiwa Waziri wa Afya Jinsia na watoto Ummy Mwalimu amezindua mradi wa Kupunguza vifo vya mama na mtoto ujulikanao kama “ Impact” Jijini Mwanza .Mradi huo umelenga kutekelezwa kwenye wilaya zote Nane zilizoko Mkoani Mwanza na utagharimu bilioni 26 za kitanzania.

Akizungumza wakati wa Ufunguzi wa Mradi huo Mheshimiwa Ummy Mwalimu,amesema serikali ya awamu ya Tano chini ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli  imefanya juhudi kubwa ya kuimarisha huduma za afya mijini na vijijini kwa kujenga  Zahanati,Vituo vya  Afya ,Hospitali za wilaya na kutoa vitendea kazi pamoja na vifaa tiba na utoaji wa ruzuku za dawa.

Mheshimiwa Mwalimu ameendelea kwa kusema “ 2015 Mkoa wa Mwanza ulikuwa na vituo vya afya  5 vyenye nyota lakini kwa sasa Mwanza ina vituo vya afya 117 vyote vina nyota, Mwanza imeendelea kufanya vizuri katika kupambana na  ugonjwa wa malaria kutoka asilimia 15, mwaka 2015 mpaka asilimia 8,mwaka wa 2018.”

Pamoja na Jitihada zote hizo lakini pia Serikali inasaidiana na wadau mbalimbali kuhakikisha huduma za afya zinaboreshwa “Kwa niaba ya serikali niishukuru sana serikali ya Canada kwa kuchangia sana katika Mradi wa kuimarisha afya ya mama na Mtoto Tanzania”Mhe. Ummy.

Hata hivyo Mheshimiwa Mwalimu akusita kutoa pongezi kwa Mbunge wa Nyamagana Mheshimiwa Stanslaus mabula kwa kuwa kiongozi ambaye anatambua na kupongeza watendaji wa serikali kwa kazi kubwa wanayoifanya katika kuboresha na kuimarisha afya ya Mtanzania.

amesema anaishukuru sana serikali ya Canada kwa kushirikiana na serikali ya jamuhuri ya Muungano kuhakikisha wanaboresha huduma  za afya  ya Mama na Mtoto kwa kupunguza  vifo vya Mama na Mtoto.

Akisoma Taarifa ya Mradi kwa mgeni rasmi wakati wa hafla hiyo fupi Meneja wa mradi ndugu Edna Selestine, amesema lengo la mradi ni kuwafikia wanawake 653,499 na watoto 83606 chini ya umri wa mwaka mmoja na wanaume 320918.

                                   Mhe.Marry Tesha (Mkuu wa wilaya ya Nyamagana) akitoa salamu kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.John Mongella kwenye hafla ya uzinduzi wa mradi wa uimarishaji

                                wa afya ya Mama na mtoto.

                            Mbunge wa Nyamagana Mhe.Stanslaus Mabula  Mbunge wa Nyamagana akitoa salamu zake kwenye hafla ya uzinduzi wa mradi wa Impact

                              

                          Mhe.Naibu Meya wa Jiji la Mwanza Bhiku Kotecha,akitoa salamu wakati wa hafla ya uzinduzi wa Mradi wa IMPACT

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA WAOMBAJI AMBAO HAWAJAWASILISHA TAARIFA ZAO KWA AJILI YA MNADA April 30, 2025
  • JITOKEZE KUJIANDIKISHA October 16, 2024
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA MAENEO YA BIASHARA KATIKA SOKO KUU December 14, 2024
  • TANGAZO LA KUPEWA NA KUINGIZWA KATIKA MFUMO WA TAUSI -UPANGISHAJI WA SOKO KUU MWANZA February 21, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WAKILI KIBAMBA ASISITIZA NIDHAMU ENEO LA KAZI

    May 08, 2025
  • WAWEZESHAJI WATOA MBINU ZA UFUNDISHAJI WA SOMO LA KIINGEREZA KUONGEZA UFAULU NYAMAGANA

    May 05, 2025
  • WAJUMBE WA MABARAZA YA KATA WATAKIWA KUTIMIZA WAJIBU WAO KWA HAKI

    March 26, 2025
  • DC NYAMAGANA MTAA KWA MTAA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI

    March 28, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya wiki ya utumishi wa Umma Halmashauri ya Jiji la Mwanza
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.