• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

NYAMAGANA YAZINDUA MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

Posted on: March 4th, 2025

Siku ya Wanawake Duniani ni kielelezo cha juhudi za pamoja za kutafuta haki na usawa wa kijinsia, huku ikisisitiza kuwa jamii yenye usawa ni bora zaidi kwa maendeleo ya nchi na ulimwengu mzima.

Kwa kutambua umuhimu wa wanawake na wasichana katika jamii kama kaulimbiu ya mwaka huu isemavyo, “ Wanawake na Wasichana 2025 Tuimarishe Haki, Usawa na Uwezeshaji” leo Machi 4, 2025 Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana Mhe. Amina Makilagi amewaongoza wanawake na wasichana katika matembezi ya hisani kama ishara ya uzinduzi wa maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani itakayoadhimishwa Kimkoa Machi 6 katika Wilaya ya Nyamagana na Kitaifa Machi 8, 2025 Jijini Arusha.

Akimkaribisha Mkuu Wilaya ya Nyamagana baada ya matembezi ya hisani  Bi. Zena Kapama Afisa Maendeleo ya Jamii wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza amesema kuwa Siku hii inatoa fursa ya kukumbuka na kusherehekea wanawake waliopigania haki za msingi na usawa katika jamii, tangu mwanzo wa mchakato wa harakati za wanawake.

Katika uzinduzi huo Mhe. Makilagi amesema kuwa siku hii inahusiana na mapambano ya wanawake kwa haki zao za kijamii, kisiasa, na kiuchumi pamoja na kutathmini hatua zilizofikiwa na kuendelea kushirikiana na kufanya kazi kwa pamoja ili kuhakikisha haki za wanawake zinaheshimiwa na kwamba wanawake wanapata nafasi sawa katika jamii.

Uzinduzi wa maadhimisho ya siku ya wanawake duniani katika Wilaya ya Nyamagana yameambatana na  Bonanza ambapo maonyesho  mbalimbali yameipamba siku hii ikiwemo, mbio za mita Mia, mpira wa Miguu, mpira wa Pete, kukimbiza kuku, kukimbia kwenye gunia na mingine mingi.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA RATIBA YA KUINGIA KWA WAPANGAJI WA MAENEO MBALIMBALI YA SOKO KUU. June 29, 2025
  • TANGAZO LA MAPENDEKEZO YA SHERIA NDOGO ZA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA July 10, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA (MCHUJO) KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA II - MWANZA JIJI April 29, 2023
  • KUITWA KAZINI NAFASI YA MEO III, MWANDISHI MWENDESHA OFISI II, RMA II na DEREVA II January 08, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KWA KUSHIRIKIANA NA RAILWAY CHILDREN AFRICA YAPANGA MIKAKATI YA KUKABILIANA NA WATOTO WA MTAANI

    June 26, 2025
  • HANANG' WAJIFUNZA MBINU ZA KUONGEZA MAPATO KUTOKA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KUPITIA STENDI KUU YA MABASI NYEGEZI

    June 10, 2025
  • DC AWATAKA WANANCHI KUSHIRIKI KATIKA UZINDUZI WA MIRADI

    June 02, 2025
  • MHE. MAKILAGI AONGOZA ZOEZI LA USAFI BUHONGWA KATIKA UZINDUZI WA WIKI YA MAZINGIRA

    May 31, 2025
  • Tazama Zote

Video

Ziara
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.