• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

" Nyamagana mmeutendea haki mwenge wa Uhuru " - Ndg Charles Kabeho kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa

Posted on: September 2nd, 2018

Kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa ndg Charles Kabeho ameipongeza wilaya ya Nyamagana kwa kuwa na miradi mikubwa mizuri na yenye tija kubwa kwa wananchi wa Jiji la Mwanza na watanzania kwa ujumla

Sifa hizo zimetolewa na Kiongozi wa mbio za Mwenge kitaifa wakati Akiaga viongozi,wataalam na wananchi wa Wilaya ya Nyamagana

Aidha Ndg kabeho amesema licha ya Nyamagana kuwa na miradi mikubwa na mizuri ata wananchi pia walihamasika vya kutosha na kushiriki kwa wingi kwa kila miradi iliyotembelewa na kujitokeza kwa wingi eneo la mkesha.

Akitoa taarifa ya Mwenge wa Uhuru 2018 Mkuu wa wilaya ya Nyamagana Mhe Dkt Phillis Nyimbi amesema zaidi ya wananchi 900 walijitokeza wakati wa mkesha kupima afya na kwa idadi hiyo ni watu Tisa waliobainika kuwa na Virusi vya Ukimwi na kushauriwa kuanza kliniki ya waathirika wa Virusi vya Ukimwi

Mwenge wa Uhuru 2018 Umetembelea miradi yenye thamani ya zaidi ya Bilioni Tatu  Halmashauri Ya Jiji la Mwanza ikichangia zaidi Ya Milioni mia tatu, Serikali kuu ikichangia zaidi ya milioni miatisa na mchango wa wananchi na wahisani ukiwa zaidi ya Bilioni moja.

Miradi iliyotembelewa ni pamoja ujenzi wa Barabara ya mawe Isamilo- Nyashana, utoaji wa mkopo wa Shilingi milioni miambili kwa vikundi wanawake, vijana na watu wenye ulemavu, Mradi wa maji taka, Soko la Igogo, Mradi wa umeme wa Jua, Club za wapinga rushwa na Vita dhidi ya madawa ya kulevya, zahanati ya Isebanda na Ufunguzi wa shule ya Msingi Buhongwa.




Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA WAOMBAJI AMBAO HAWAJAWASILISHA TAARIFA ZAO KWA AJILI YA MNADA April 30, 2025
  • JITOKEZE KUJIANDIKISHA October 16, 2024
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA MAENEO YA BIASHARA KATIKA SOKO KUU December 14, 2024
  • TANGAZO LA KUPEWA NA KUINGIZWA KATIKA MFUMO WA TAUSI -UPANGISHAJI WA SOKO KUU MWANZA February 21, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WAKILI KIBAMBA ASISITIZA NIDHAMU ENEO LA KAZI

    May 08, 2025
  • WAWEZESHAJI WATOA MBINU ZA UFUNDISHAJI WA SOMO LA KIINGEREZA KUONGEZA UFAULU NYAMAGANA

    May 05, 2025
  • WAJUMBE WA MABARAZA YA KATA WATAKIWA KUTIMIZA WAJIBU WAO KWA HAKI

    March 26, 2025
  • DC NYAMAGANA MTAA KWA MTAA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI

    March 28, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya wiki ya utumishi wa Umma Halmashauri ya Jiji la Mwanza
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.