• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

" Nilazima tuweke mikakati ya pamoja kati ya shule Binafsi na shule za serikali ili kuboresha elimu katika wilaya yetu ya Nyamagana " Mheshimiwa Marry Tesha

Posted on: June 20th, 2018

Mkuu wa wilaya ya Nyamagana Mheshimiwa Marry Tesha Onesmo amefanya kikao na wadau wa elimu tarehe 18Juni 2018 kwa lengo la kuboresha hali ya elimu katika wilaya yake.

Akiongea na wadau hao, Mkuu wa wilaya amewaambia  wadau hao kuwa jukumu la kupandisha kiwango cha ufaulu  katika wilaya ya Nyamagana ni la serikali kwa ushirikiano mkubwa wa wananchi ambao ni wadau wakubwa wa maendeleo.

Aidha Mkuu wa wilaya ya Nyamagana amesema lazima tuwe na mikakati ya elimu inayotekelezeka ili kuiweka wilaya ya Nyamagana katika nafasi nzuri kielimu ili iweze kusadifu kauli mbiu ya  wilaya ya Nyamagana bila ziro inawezekana

“Ni lazima tutokomeze utoro mashuleni,tusimamie nidhamu ya walimu na wanafunzi hii itabadilisha taswira ya taaluma katika wilaya yetu” amesema Mheshimiwa Tesha.

Hata hivyo Mkuu wa wilaya ya Nyamagana amewataka walimu kwa ushirikiano na wadau wa elimu kuandaa na kufanya Mitihani ya mara kwa mara ya kata,Wilaya na pia Mheshimiwa tesha amesisitizauwajibikaji wa walimu kutafuta mbinu za kuwapatia chakula cha mchana ili kuboresha hali ya kujifunzia .

Akitoa taarifa ya hali ya taaluma kwa wilaya ya Nyamagana Afisa taaluma wa Elimu sekondari Ndugu Malima Chisumo amesema matokeo ya ufaulu wa mtihani wa Kujipima wa muhula wa kwanza uliofanyika mwezi Mei 2018 kiwilaya kwa shule za Serikali na shule zisizokuwa za serikali.Matokeo ya ufaulu yanaonesha Shule zisizokuwa za serikali zinaufaulu wa juu ukilinganisha na shule za serikali.

Hata hivyo Ndugu Chisumo amesema ingawa Shule zisizozaserikali zimeongoza kwa ufaulu lakini kama wilaya ufaulu haukufikia wastani wa asilimia 90 uliowekwa kitaifa badala yake umefikia asilimia 78.7 Ndugu Chisumo ameomba shule  zisizokuwa za serikali kuwa na ushirikiano na shule za serikali ili kubadilishana uzoefu kwa ajili ya kupandisha ufaulu wa shule zote kiwilaya.

Wakichangia juu ya changamoto na uboreshaji wa ufaulu,wadau wa elimu wamesema changamoto walizonazo ni pamoja watoto kuchelewa shule kwa sababu ya usafiri, kuporomoka kwa maadili kwa baadhi ya walimu na wanafunzi,kutokuwepo kwa mitihani ya mara kwa mara,baadhi ya walimu kutumia lugha ya Kiswahili kufundishia.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA RATIBA YA KUINGIA KWA WAPANGAJI WA MAENEO MBALIMBALI YA SOKO KUU. June 29, 2025
  • TANGAZO LA MAPENDEKEZO YA SHERIA NDOGO ZA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA July 10, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA (MCHUJO) KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA II - MWANZA JIJI April 29, 2023
  • KUITWA KAZINI NAFASI YA MEO III, MWANDISHI MWENDESHA OFISI II, RMA II na DEREVA II January 08, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KWA KUSHIRIKIANA NA RAILWAY CHILDREN AFRICA YAPANGA MIKAKATI YA KUKABILIANA NA WATOTO WA MTAANI

    June 26, 2025
  • HANANG' WAJIFUNZA MBINU ZA KUONGEZA MAPATO KUTOKA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KUPITIA STENDI KUU YA MABASI NYEGEZI

    June 10, 2025
  • DC AWATAKA WANANCHI KUSHIRIKI KATIKA UZINDUZI WA MIRADI

    June 02, 2025
  • MHE. MAKILAGI AONGOZA ZOEZI LA USAFI BUHONGWA KATIKA UZINDUZI WA WIKI YA MAZINGIRA

    May 31, 2025
  • Tazama Zote

Video

Ziara
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.