• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

MWANZA – WURZBURG YAWEZESHA VIFAA VYA USAFI WA MAZINGIRA FUMAGILA

Posted on: February 26th, 2025

Ikiwa ni moja ya hatua kubwa ya Halmashauri ya Jiji la Mwanza kuhakikisha usafi unaendelea kuwa sehemu ya tamaduni za shule na jamii kwa ujumla, Halmashauri ya Jiji la Mwanza imekabidhi vifaa vya usafi wa Mazingira katika Shule ya Msingi Fumagila kata ya Kishiri vilivyototolewa kwa hisani ya Mji wa Wurzburg Ujerumani kupitia uhusiano uliopo na Jiji la Mwanza.

Akikabidhi vifaa hivyo leo February 26,2025, Mratibu wa Miji Dada( Sister Cities) Bw. Billy Albert Brown amesema vifaa hivyo vimetolewa kwa lengo kukabiliana na changamoto zinazopelekea mabadiliko ya tabianchi kupitia makubaliano mahususi  na kwamba Halmashauri ya Jiji la Mwanza linatarajia kupata miradi mbalimbali kama nishati rejevu ambayo ni matumizi ya sola.

Pamoja na kukabidhi vifaa hivyo Bw. Brown amewataka Wanafunzi kuwa mabalozi na kuhakikisha jamii  inaelewa uhusiano huo mzuri uliopo kati ya Mji wa Wurzburg na Halmashauri ya Jiji la Mwanza.

Naye Mkuu wa Shule ya Sekondari Fumagila Mwl, Dotto Gibebe ameushukuru uongozi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza kwa kuwapatia vifaa vya usafi wa mazingira kutokana na Uhusiano mzuri na Mji wa Wurzburg na kudai vifaa hivyo vitaboresha na kutunza mazingira ya shule hiyo huku akiomba uhusiano huo uwawezeshe kisima cha maji kwa kuwa Maji ni changamoto kubwa shuleni hapo.

Vilevile Afsa Rashidi Sadiki akizungumza kwa niaba ya wanafunzi ameushukuru Uongozi wa Jiji la Mwanza kwa kuwapatia vifaa vya usafi na kuahidi kuvitumia na kuboresha Mazingira ya kujifunzia.

Akihitimisha Bw. Billy Brown amewataka wanafunzi wa Shule hiyo kutunza Mazingira na kuahidi  kuwa kuhusu changamoto ya maji uongozi wa Miji yote miwili utakaa uone namna ya kutatua changamoto hiyo.


Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA WAOMBAJI AMBAO HAWAJAWASILISHA TAARIFA ZAO KWA AJILI YA MNADA April 30, 2025
  • JITOKEZE KUJIANDIKISHA October 16, 2024
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA MAENEO YA BIASHARA KATIKA SOKO KUU December 14, 2024
  • TANGAZO LA KUPEWA NA KUINGIZWA KATIKA MFUMO WA TAUSI -UPANGISHAJI WA SOKO KUU MWANZA February 21, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WAKILI KIBAMBA ASISITIZA NIDHAMU ENEO LA KAZI

    May 08, 2025
  • WAWEZESHAJI WATOA MBINU ZA UFUNDISHAJI WA SOMO LA KIINGEREZA KUONGEZA UFAULU NYAMAGANA

    May 05, 2025
  • WAJUMBE WA MABARAZA YA KATA WATAKIWA KUTIMIZA WAJIBU WAO KWA HAKI

    March 26, 2025
  • DC NYAMAGANA MTAA KWA MTAA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI

    March 28, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya wiki ya utumishi wa Umma Halmashauri ya Jiji la Mwanza
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.