• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

MRADI WA GREEN AND SMART CITIES MWANZA, WAZINDULIWA RASMI..

Posted on: February 20th, 2024

Mradi wa Green and smart Cities- SASA unatarajiwa kuboresha sekta za Uchumi, Maji na Mazingira Kwa wananchi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza na Manispaa ya Ilemela.

Akizungumza katika hafla  ya  uzinduzi rasmi wa utekelezaji wa mradi huo tarehe Feb. 20/2024 katika ukumbi mkubwa wa Jiji la Mwanza,  Ndugu Patrick Karangwa  kwa niaba ya   Katibu tawala wa Mkoa wa Mwanza Ndg. Elikana Balandya amesema kupitia mradi huu wananchi wa Mwanza watapata fursa ya kuboreshewa miundo mbinu ya masoko,miundo mbinu ya Maji safi na pia baadhi ya vijana watapatiwa elimu wezeshi ya biashara na pia kupatiwa mikopo ili kukidhi malengo ya mradi.

Karangwa pia alisema, kupitia mradi huu jamii itafaidika na upangaji mzuri wa miji yetu kulingana na mpango kabambe wa miji (Master Plan) ambao tayari umeanza kufanyiwa kazi miaka ya hivi karibuni. Amesema Mwanza ni kati ya miji inayokuwa Kwa Kasi na ina mzunguko mkubwa kati ya miji mikubwa ya Afrika mashariki na maeneo ya jirani.

Ameshukuru wafadhili (team Europe) Kwa kuona umuhimu wa kuleta mradi huu na kuahidi kutoa ushirikiano Kwa mstakabali wa maendeleo ya Jiji la Mwanza.

Naye mwakilishi wa umojanwa ulaya (European Union-EU) Ndg. Martino Jindi amesema ameomba pande zote mbili za timu ya Ulaya na Tanzania kutoa ushirikiano wakutosha huku akisisltiza pande zote kuona mradi huu ni sehemu ya uwajibikaji na utendaji wa Halmashauri hizi wa kila siku na sio kuuchukulia kama nyongeza au kitu ambacho wafadhili wamekileta kwa matakwa yao.

Wakizungumza Kwa pamoja waheshimiwa Madiwani wa Ilemela na Nyamagana wakiongozwa na wastahiki Meya  wamewahakikishia wafadhili kuukubali mradi na pia kuwajibika na kutoa ushirikiano Kwa maendeleo ya Halmashauri zao.

Nao Wakurugenzi wa Halmashauri zote mbili wamesifu jitihada za wafadhili na pia kuomba miradi zaidi kama itapatikana ikiwa ni pamoja na ujenzi wa machinjio na dampo la kisasa Ilemela na pia uboreshaji wa barabara katika miradi inayotekelezwa ili iweze kufikika.

Mradi wa Green and smart Cities- SASA unafadhiliwa na EU, GIZ na wafadhili wengine kutoka ulaya na unalenga kutekelezwa Tanzania Kwa mikoa ya Mwanza, Tanga na  Pemba.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA WAOMBAJI AMBAO HAWAJAWASILISHA TAARIFA ZAO KWA AJILI YA MNADA April 30, 2025
  • JITOKEZE KUJIANDIKISHA October 16, 2024
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA MAENEO YA BIASHARA KATIKA SOKO KUU December 14, 2024
  • TANGAZO LA KUPEWA NA KUINGIZWA KATIKA MFUMO WA TAUSI -UPANGISHAJI WA SOKO KUU MWANZA February 21, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WAKILI KIBAMBA ASISITIZA NIDHAMU ENEO LA KAZI

    May 08, 2025
  • WAWEZESHAJI WATOA MBINU ZA UFUNDISHAJI WA SOMO LA KIINGEREZA KUONGEZA UFAULU NYAMAGANA

    May 05, 2025
  • WAJUMBE WA MABARAZA YA KATA WATAKIWA KUTIMIZA WAJIBU WAO KWA HAKI

    March 26, 2025
  • DC NYAMAGANA MTAA KWA MTAA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI

    March 28, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya wiki ya utumishi wa Umma Halmashauri ya Jiji la Mwanza
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.