• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

Mkuu wa wilaya ya Nyamagana Dkt.Phillis Nyimbi awatahadharisha wananchi wa Nyamagana kuhusu mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu

Posted on: June 29th, 2019

Mkuu wa wilaya ya Nyamagana Mhe. Dkt Phillis Nyimbi awatahadharisha wananchi Juu ya mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu.

Dkt Nyimbi amewataka wananchi kufanya usafi na kuepuka kutupa taka hovyo ili kujiepusha na Ugonjwa wa kipindupindu .

Dkt Nyimbi ameyasema hayo leo katika kuhadhimisha siku ya usafi ya kitaifa ambayo ni Jumamosi ya kila Mwezi.

Pamoja na kuwatahadharisha wananchi Dkt .Nyimbi amewataka wafanyabiashara hasa wa kata ya Pamba kutokukwepa kufanya usafi katika maeneo yao ya kufanyia kazi, na kusababisha uchafu kuzagaa hovyo.

Hata hivyo Dkt Nyimbi amesema Jiji la Mwanza ni kitovu cha biashara kwa ukanda huu wa Afrika Mashariki na watu wengi kutoka Uganda, Burundi na Kongo huja kwa wingi kufanyabiashara kwenye Jiji hili . Hivyo amewataka wananchi kuchukua tahadhari kwa wageni wanaoingia kutoka hasa Congo, Uganda na Burundi ambapo kutokana na taarifa zilizopo imeripotiwa Ugonjwa wa Ebola ambapo mpaka sasa watu wameshapoteza maisha. Hivyo amewaomba wananchi waonapo wageni kutoka maeneo hayo kutoa taarifa kwa vyombo vinavyohusika ili kuweza kufikishwa kwenye vituo vya afya kwa ajili ya kupimwa afya zao.

Akizungumza Kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza James Ling'wa amewapongeza mirongo kwa namna walivyojitokeza kufanya usafi na kuwataka kulifanya zoezi hili kuwa endelevu.

Aidha Ling'wa amemuagiza Mtendaji wa Kata ya Pamba kuhakikisha anasimamia usafi wa mazingira katika Kata ya Pamba.

Maadhimisho ya siku ya usafi kiwilaya Nyamagana  imefanyika leo  katika Kata ya Mirongo


Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA WAOMBAJI AMBAO HAWAJAWASILISHA TAARIFA ZAO KWA AJILI YA MNADA April 30, 2025
  • JITOKEZE KUJIANDIKISHA October 16, 2024
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA MAENEO YA BIASHARA KATIKA SOKO KUU December 14, 2024
  • TANGAZO LA KUPEWA NA KUINGIZWA KATIKA MFUMO WA TAUSI -UPANGISHAJI WA SOKO KUU MWANZA February 21, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WAKILI KIBAMBA ASISITIZA NIDHAMU ENEO LA KAZI

    May 08, 2025
  • WAWEZESHAJI WATOA MBINU ZA UFUNDISHAJI WA SOMO LA KIINGEREZA KUONGEZA UFAULU NYAMAGANA

    May 05, 2025
  • WAJUMBE WA MABARAZA YA KATA WATAKIWA KUTIMIZA WAJIBU WAO KWA HAKI

    March 26, 2025
  • DC NYAMAGANA MTAA KWA MTAA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI

    March 28, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya wiki ya utumishi wa Umma Halmashauri ya Jiji la Mwanza
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.