• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

Mkuu wa wilaya ya Nyamagana azindua maadhimisho ya wiki ya mazingira wilayani Nyamagana

Posted on: May 31st, 2018


Mkuu wa wilaya ya Nyamagana Mheshimiwa Marry Tesha Onesmo amezindua maadhimisho ya wiki mazingira  Dunianiani katika wilaya ya nyamagana.Uzinduzi huo umefanyika kwa Mkuu wa wilaya kushiriki kufanya usafi katika mitaa ya kamanga Ferry,Barabara ya posta -Stesheni Kanisa la Anglican na Nyamagana Shule ya Msingi

Akizindua wiki ya mazingira Mhe Tesha amewataka wananchi wa Nyamagana kuyatunza mazingira kwa kufanya usafi na kuhifadhi taka maeneo husika. “ninawaagiza TARURA kuzibua mitaro yote iliyoziba kwa sababu ya taka baada ya hapo kila Afisa Afya wa kata na mitaa atawajibika kuwasimamia wananchi kuyasafisha maeneo yao na kutunza mitaro inayopita maeneo yao’’ amesema Mheshimiwa Tesha.

Aidha Mkuu wa wilaya amewahasa wananchi kutumia nishati mbadala  badala ya kutumia mkaa ili kuepuka athari za mazingira “ ni nafuu kutumia gesi ambayo utumika muda mrefu kuliko mkaa unaoisha mapema na wenye athari ya mazingira’’amesema Mhe Tesha

Maadhimisho ya wiki ya mazingira Dunianiani yameaanza leo tarehe 31/05/2018 na yatafikia tamati yake tarehe 05/06/2018 kwa kufanyika Kongamano kubwa katika Ukumbi mkubwa wa Jiji.

Maadhimisho haya yanaambatana na kauli mbiu isemayo“Mkaa ni Gharama Tumia Nishati Mbadala” maudhui ya ujumbe huu kitaifa unalenga kuelimisha na kuhamasisha matumizi ya nishati mbadala kwa wananchi ili kukabiliana na changamoto ya ukataji wa miti nchini. Hivyo ujumbe huu unalenga kuonesha madhara ya matumizi ya mkaa kimazingira, kiuchumi na kiafya kwa jamii

                                                                           Mkuu wa wilaya ya Nyamagana akiokota taka eneo la Relini leo alipokuwa anaadhimisha wiki ya mazingira wilayani Nyamgana

                                  Mkuu wa wilaya ya Nyamagana Mhe.Marry Tesha akitoa maelekezo kwa wafanyabiashara wa samaki eneo la kamanga kusafisha maeneo yao wakati akiwa kwenye 

                                     maadhimisho ya wiki ya mazingira Duniani

                        Mkuu wa wilaya ya Nyamagana Mhe.Marry Tesha akiwa na mfuko maalumu wa kuzolea taka





Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA RATIBA YA KUINGIA KWA WAPANGAJI WA MAENEO MBALIMBALI YA SOKO KUU. June 29, 2025
  • TANGAZO LA MAPENDEKEZO YA SHERIA NDOGO ZA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA July 10, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA (MCHUJO) KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA II - MWANZA JIJI April 29, 2023
  • KUITWA KAZINI NAFASI YA MEO III, MWANDISHI MWENDESHA OFISI II, RMA II na DEREVA II January 08, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KWA KUSHIRIKIANA NA RAILWAY CHILDREN AFRICA YAPANGA MIKAKATI YA KUKABILIANA NA WATOTO WA MTAANI

    June 26, 2025
  • HANANG' WAJIFUNZA MBINU ZA KUONGEZA MAPATO KUTOKA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KUPITIA STENDI KUU YA MABASI NYEGEZI

    June 10, 2025
  • DC AWATAKA WANANCHI KUSHIRIKI KATIKA UZINDUZI WA MIRADI

    June 02, 2025
  • MHE. MAKILAGI AONGOZA ZOEZI LA USAFI BUHONGWA KATIKA UZINDUZI WA WIKI YA MAZINGIRA

    May 31, 2025
  • Tazama Zote

Video

Ziara
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.