• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza atoa sintofahamu inayowasumbua walimu

Posted on: April 19th, 2018


Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza ndg Kiomoni Kibamba Kiburwa  amekutana na walimu 450 walioamishiwa shule za Msingi kutoka shule za Sekondari na kutoa ufafanuzi wa madai kadha wa kadha waliyokuwanayo walimu.

Mkutano huo umefanyika leo katika ukumbi wa “Gandh hall” Akiongea kwenye Kikao hicho Kibamba amewaambia Walimu kuwa kwa mujibu wa Kanuni za Utumishi wa Umma na Muongozo wa huduma za walimu uliofanyiwa marekebisho 2016 kifungu cha 55 (Techears service sheme) walimu watakaolipwa fedha kwa ajili ya Usumbufu ni wale tu watakaolazimika kufungasha na kuhama na familia zao kutoka kituo kimoja hadi kingine ambapo Mkurugenzi atatoa Usafiri na kuwalipa asilimia 10 ya mishahara yao.

Aidha Mkurugenzi amewaambia walimu tayari amepokea Milioni 393 za EP4R (Education Payment for Result) na Milioni 79 zitalipwa kwa awamu ya kwanza kwa ajili ya kuwamotisha walimu walioamishwa  na zingine zitalipwa kwa kadri zitakavyopokelewa.

Ndugu Kibamba amesisitiza kuwa zoezi hili limefanyika bila ya kumwonea mtu yeyote yule hii ni kutokana na Kamati hii kutoa uhuru wa mwalimu kuchagua shule anayoitaji kuhamia, aidha weledi wakamati yenyewe pamoja na jinsi ilivyoundwa kwa kuhusisha  Chama cha walimu,TAHOSA,Utumishi,Wadhibiti Ubora na wawakilishi kutoka Umoja wa walimu wa Shule za Misingi.

Kwa kumalizia Mkurugenzi amewataka walimu wote wanaodai malipo yao  ya likizo kuanzia Julai,Mosi,2017 fedha zipo na madai yao yatalipwa “ lengo letu ni kuhakikisha hatuzalishi tena madeni yasiyokuwa yalazima” amesema Ndg Kibamba

Kikao cha Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza na walimu ni utaratibu wa kawaida wa Mkurugenzi wa jiji la Mwanza Ndugu kiomoni Kibamba kukutana na watumishi wa kada mbali mbali na kusikiliza kero zao

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA WAOMBAJI AMBAO HAWAJAWASILISHA TAARIFA ZAO KWA AJILI YA MNADA April 30, 2025
  • JITOKEZE KUJIANDIKISHA October 16, 2024
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA MAENEO YA BIASHARA KATIKA SOKO KUU December 14, 2024
  • TANGAZO LA KUPEWA NA KUINGIZWA KATIKA MFUMO WA TAUSI -UPANGISHAJI WA SOKO KUU MWANZA February 21, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MHE. MAKILAGI AONGOZA ZOEZI LA USAFI BUHONGWA KATIKA UZINDUZI WA WIKI YA MAZINGIRA

    May 31, 2025
  • "SEKTA YA ELIMU HAITAWEZA KUSONGA MBELE KWA MCHANGO WA KUNDI MOJA " , MMHE. MAKILAGI

    May 30, 2025
  • MCHENGERWA AWATAKA MAAFISA HABARI KUWA WABUNIFU

    May 23, 2025
  • DKT. DUGANGE AFUNGUA MKUTANO MKUU WA 25 WA LVRLAC, AHIMIZA UONGOZI BORA NA ULINZI WA RASILIMALI ZA ZIWA VICTORIA

    May 26, 2025
  • Tazama Zote

Video

Ziara
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.