• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

MEYA WA JIJI LA MWANZA ASHIRIKI MKUTANO WAMIJI-WORLD URBAN FORUM MISRI

Posted on: November 5th, 2024

Mstahiki Meya wa Jiji la Mwanza Mhe.Sima Constantine Sima aeleza jinsi ushirikiano kati ya Miji na mkakati bora wa kuwezesha utekelezaji wa malengo endelevu katika ngazi za Serikali za Mitaa, 

Mhe.Sima aeleza  hayo wakati akishirki Mkutano wa Miji Duniani (World Urban Forum) Jijini Cairo Nchini Misri.Mkutano huo umeandaliwa na UN HABITAT kwa ushiriakiana na wadau  mbalimbali wa maendeleo ikiwa ni pamoja na Wizara ya Mazingira ya Finland iliyohusisha  Ujumbe wa Jiji la Tampere, Jiji rafiki la Jiji la Mwanza.

Pia ameeleza namna Urafiki  wa Tampere na Jiji la Mwanza, umetoa uzoefu wa namna ya kuratibu na kusimamia utekelezaji wa maendeleo endelevu katika ngazi ya Serikali za Mitaa pamoja na namna ya kufanya mapitio ya malengo hayo ili kuendelea kutathimini usimamizi bora. 

"Kupitia ushirikiano kati ya Jiji la Mwanza na Tampere, tuliweza kupata maarifa na ujuzi kupitia Jiji la Tampere ambalo tayari lilikwisha zoezi hilo, hivyo kusaidia kufanyika kwa VLR ya kwanza ya SDG katika Jiji letu la Mwanza", amesema Mstahiki Meya Mhe.Sima.

Vilevile, ameeleza kuwa kupitia zoezi hilo la VLR limesaidia kubaini changamoto kwenye sekta mbalimbali ambazo zilipewa vipaumbele na Halmashauri ya Jiji la Mwanza ambapo tayari kuna miradi ambayo imefanyika na mingine inatarajiwa kuanza, ukizingatia miradi ambayo imefanyika ni pamoja na uboreshwaji wa kitengo cha watoto wachanga na Afya ya Mama  mjamzito katika Hospitali ya Nyamagana ambao umegharimu kiasi cha shilingi Milioni 180 kwa kununua vifaa Tiba , Vitanda vya joto,kwa watoto na kuboresha Wodi, Mradi utakaotekelezwa na MWAUWASA wa Maji safi na salama na ujenzi wa madarasa katika kuboresha mazingira bora katika kuboresha mazingira ya elimu kwa Wanafunzi.

Mwisho kwa upande wake Mstahiki Meya wa Jiji la Mwanza ameishukuru Serikali ya Finland, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jiji la Tampere, UN-Habitant Pamoja wadau wote wa maendeleo kwa kuwezesha Jiji la Mwanza kufanya Mapitio ya Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs).

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA WAOMBAJI AMBAO HAWAJAWASILISHA TAARIFA ZAO KWA AJILI YA MNADA April 30, 2025
  • JITOKEZE KUJIANDIKISHA October 16, 2024
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA MAENEO YA BIASHARA KATIKA SOKO KUU December 14, 2024
  • TANGAZO LA KUPEWA NA KUINGIZWA KATIKA MFUMO WA TAUSI -UPANGISHAJI WA SOKO KUU MWANZA February 21, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WAKILI KIBAMBA ASISITIZA NIDHAMU ENEO LA KAZI

    May 08, 2025
  • WAWEZESHAJI WATOA MBINU ZA UFUNDISHAJI WA SOMO LA KIINGEREZA KUONGEZA UFAULU NYAMAGANA

    May 05, 2025
  • WAJUMBE WA MABARAZA YA KATA WATAKIWA KUTIMIZA WAJIBU WAO KWA HAKI

    March 26, 2025
  • DC NYAMAGANA MTAA KWA MTAA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI

    March 28, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya wiki ya utumishi wa Umma Halmashauri ya Jiji la Mwanza
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.