• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

MEWAKA KULETA MABADILKO SEKTA YA ELIMU HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA

Posted on: March 25th, 2025

Mafunzo Endelevu ya Walimu Kazini (MEWAKA) ni njia moja wapo ya kukuza na kuboresha Elimu Nchini. Kwa kutambua hilo Afisa Elimu wa Awali na Msingi  Bw. Mussa Ally Lambwe  ameendesha Mafunzo kwa walimu mahiri wa KKK (3R’S) kwa shule za Msingi za Serikali na binafsi.

Akifungua mafunzo hayo March 25,2025 katika ukumbi wa Lake Victoria English Medium,  Bw. Lambwe amesema lengo la Mafunzo hayo ni kuwajengea uwezo walimu hao katika nyanja tofauti wakati watakapokwenda kutekeleza majukumu yao katika  ngazi ya Shule.

Ameongeza kuwa Kamati ya Mitihani ya Wilaya ilifanya tathmini kupitia mtihani wa Taifa darasa la pili 2023 na kubaini changamoto zilizosababisha baadhi ya wanafunzi kutomudu kujibu vizuri katika stadi lengwa hivyo kuamua kufanya mafunzo hayo ili kutoa mbinu za ziada zinazoweza kusaidia kuboresha   ufundishaji na ujifunzaji katika darasa.

Kwa upande wake Mwl Sauda ambaye ni mwezeshaji na mbobezi wa masuala ya Awali, darasa la kwanza na la pili amebainisha changamoto zilizojitokeza kuwa ni baadhi ya wanafunzi kushindwa kuandika, kuchanganya herufi kubwa na ndogo pia mwendokasi katika kasi ya kusoma.

Mwl  Sauda ameongeza kuwa kupitia mafunzo haya walimu wataweza kutatua changamoto zote zilizojitokeza na zitakazojitikeza kwa kutumia mbinu rahisi na wezeshi wakati wa tendo la ufundishaji.

“Sisi kama wawezeshaji tumeamua tuwape hizo mbinu, tuwawezeshe walimu wetuwaweze kujua njia/mbinu rahisi za kuweza kumfundisha Mtoto aweze kung’amua mambo mbalimbali kwa haraka”.

Kwa niaba ya wawezeshwaji Mwl Aneth Kessy amesema ,“ Tunaishukuru Halmashauri yetu kwa jitihada nzuri kama hizi, tunaahidi kupitia mafunzo haya tunakwenda kufanya mabadiliko katika stadi za KKK”.

Afisa Elimu wa Awali na Msingi Bw. Lambwe ametamatisha kwa kuwashukuru washiriki wote na kuwataka wawezeshaji kuhakikisha walimu wote wa stadi za KKK wanashiriki kikamilifu mafunzo ngazi za shule ili kuleta tija na ufanisi katika ufundishaji na ujifunzaji.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA WAOMBAJI AMBAO HAWAJAWASILISHA TAARIFA ZAO KWA AJILI YA MNADA April 30, 2025
  • JITOKEZE KUJIANDIKISHA October 16, 2024
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA MAENEO YA BIASHARA KATIKA SOKO KUU December 14, 2024
  • TANGAZO LA KUPEWA NA KUINGIZWA KATIKA MFUMO WA TAUSI -UPANGISHAJI WA SOKO KUU MWANZA February 21, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WAKILI KIBAMBA ASISITIZA NIDHAMU ENEO LA KAZI

    May 08, 2025
  • WAWEZESHAJI WATOA MBINU ZA UFUNDISHAJI WA SOMO LA KIINGEREZA KUONGEZA UFAULU NYAMAGANA

    May 05, 2025
  • WAJUMBE WA MABARAZA YA KATA WATAKIWA KUTIMIZA WAJIBU WAO KWA HAKI

    March 26, 2025
  • DC NYAMAGANA MTAA KWA MTAA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI

    March 28, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya wiki ya utumishi wa Umma Halmashauri ya Jiji la Mwanza
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.