• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

Maadhaimisho ya siku ya wanawake Duniani wilayani Nyamagana yaonesha muelekeo wa Tanzania ya Viwanda

Posted on: March 9th, 2018

Maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani Wilayani Nyamagana yaonesha muelekeo wa Tanzania ya Viwanda

 Maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani yanaadhimishwa kila machi 08 ya kila mwaka kwa Wilaya ya Nyamagana  maadhimisho haya yamfunguliwa leo   katika viwanja vya Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana.

 Maadhimisho haya uwaleta akina mama sehemu moja na kuonesha jitihada mbalimbali zinazofanywa na akina mama kujikwamua kiuchumi na kijamii.

 Katika maadhimisho ya mwaka huu kwa Wilaya ya Nyamagana mgeni rasmi ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana mheshimiwa Mary Tesha Onesmo alipata fursa ya kutembelea mabanda ya wanawake na kujionea shughuli mbalimbali za kiuchumi na kijamii zinazofanywa na wanawake.

 Shughuli alizoziona mgeni rasmi ni pamoja na utengenezaji wa sabuni za maji na sabuni za miche za kufulia, utengenezaji wa mafuta ya kupaka,utengenezaji Batiki,Vikapu vyandarua pamoja na madawa mbalimbali ya kutibu Binadamu.

 Hali hii inaleta faraja na kuakisi kauli mbiu ya maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani nchini "Wanawake kujiwezesha na kujiimarisha na kutafuta usawa kuelekea Uchumi wa Viwanda"

 Hali hii inamfanya mgeni rasmi kuona uhalisia wa Tanzania ya viwanda ukitimizwa na wanawake kwa jitihada zao kubwa wanazozifanya hasa wakihamasishana na kuwa vikundi vidogo vidogo vya ujasiriamali vyenye maono ya kufanya vitu vikubwa siku za Usoni

 Hali hii inamfanya mgeni rasmi kuwaagiza watalaamu wa masuala mbali mbali waliopo wilayani kuvisaidia vikundi hivi kitaalamu ili kuvisaidia kutimiza dhana ya Tanzania ya viwanda.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA RATIBA YA KUINGIA KWA WAPANGAJI WA MAENEO MBALIMBALI YA SOKO KUU. June 29, 2025
  • TANGAZO LA MAPENDEKEZO YA SHERIA NDOGO ZA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA July 10, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA (MCHUJO) KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA II - MWANZA JIJI April 29, 2023
  • KUITWA KAZINI NAFASI YA MEO III, MWANDISHI MWENDESHA OFISI II, RMA II na DEREVA II January 08, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KWA KUSHIRIKIANA NA RAILWAY CHILDREN AFRICA YAPANGA MIKAKATI YA KUKABILIANA NA WATOTO WA MTAANI

    June 26, 2025
  • HANANG' WAJIFUNZA MBINU ZA KUONGEZA MAPATO KUTOKA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KUPITIA STENDI KUU YA MABASI NYEGEZI

    June 10, 2025
  • DC AWATAKA WANANCHI KUSHIRIKI KATIKA UZINDUZI WA MIRADI

    June 02, 2025
  • MHE. MAKILAGI AONGOZA ZOEZI LA USAFI BUHONGWA KATIKA UZINDUZI WA WIKI YA MAZINGIRA

    May 31, 2025
  • Tazama Zote

Video

Ziara
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.