• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

KAMATI YA USHAURI YA WILAYA YA NYAMAGANA YAFANYA KIKAO MAALUMU KUJADILI BAJETI YA FEDHA 2026/2027.

Posted on: February 9th, 2026

‎Katika kikao hicho ambacho kimefanyika Leo hii Katika Ukumbi Mkubwa wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza kikiongozwa na Mwenyekiti Mhe.Amina Makilagi ambae pia ni Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana amesema Bajeti ya fedha ndani ya Wilaya ya Nyamagana kwa Mwaka 2026/2027 itafanya mabadiliko mbalimbali ndani ya Wilaya ikiwemo juu ya ujenzi wa miundombinu kama Barabara na Huduma za Kijamii ( Mashule,vituo vya afya n.k)

‎Ndani ya Bajeti ya fedha 2026/2027 ambayo imekusanya ajenda kama Bima ya Afya kwa wote,Mapendekezo ya Mpango wa Bajeti ya Matumizi na Mapato lakini Pia Makadilio ya Makusanyo yatokanayo na ruzuku kutoka Serikali Kuu ajenda zote hizi zitajadiliwa na Madiwani wa Kata mbalimbali za Wilaya ya Nyamagana kabla ya kupitishwa na kuwasilishwa ndani ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

‎‎Aidha ; Katika Bajeti hii itafanya Tathimini Juu ya Ujenzi wa Masoko Makubwa ndani ya Wilaya ya Nyamagana ambayo yatawakutanisha wafanyabiashara mbalimbali kwa pamoja na changamoto ya watu kufanya biashara kando ya Barabara kutatulika.

‎Mhe.Amina Makilagi amesisitiza suala la amani pia kwa wananchi wote wa Wilaya ya Nyamagana bila ya kubaguana Katika Imani za Kidini na Kikabila.

‎‎"Amani ndio Kila kitu,Tusibaguane Kidini wala Kikabila Amani ni Msingi wa Kila kitu"

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA UCHAGUZI October 19, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA SEMINA JIMBO LA NYAMAGANA October 21, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI November 29, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 09, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC MTANDA AFANYA ZIARA YA MIRADI MWANZA, ASISITIZA KASI NA UWAZI WA UTEKELEZAJI

    February 12, 2026
  • MKUU WA MKOA AIPONGEZA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KWA MKAKATI WA KUTOKOMEZA UHABA WA MADAWATI

    February 12, 2026
  • RC MTANDA ASISITIZA UKAMILISHAJI WA SHULE YA AMALI KISHIRI NDANI YA WIKI TATU

    February 12, 2026
  • KATIBU TAWALA NYAMAGANA AWAHIMIZA WADAU WA BIASHARA KUSHIRIKIANA KUKUZA UCHUMI

    February 11, 2026
  • Tazama Zote

Video

Ziara
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.