• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

Kamati ya siasa yakoshwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo na Jiji la Mwanza

Posted on: May 17th, 2018

Kamati ya siasa ya Chama cha Mapinduzi  yafurahishwa kwa namna Halmashauri inavyotekeleza miradi ya Ujenzi wa Madarasa  na Vyoo kwa Ufanisi

Kamati ya siasa ya Chama Tawala imefanya ziara ya kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa na Halmashauri ya Jiji la Mwanza kwa mwaka wa fedha 2017/2018. Miradi iliyokaguliwa ni pamoja na Ujenzi wa  madarasa  shule ya Msingi Nyangulugulu,Ujenzi wa Matundu ya Choo Mahina Sekondari , Kituo cha Afya Igoma , Machinjio ya Kisasa –Mhandu, Ujenzi na  Ukarabati wa madarasa Igoma C, Ujenzi wa Vyoo Kishiri shule ya Msingi, na Ujenzi wa Madarasa Fumagila.

Kamati ya siasa  ikiwa shule ya Msingi Kishiri walikoshwa kwa namna Uongozi wa  kata unavyoshirikiana na  Viongozi wa Mitaa na Ungozi wa shule kutekeleza maendeleo  “ Tumefurahishwa sana kwa namna mnavyofanya kazi kwa uwazi na ushirikiano mkubwa  mmesema mlipewa Fedha kwa ajili ya Matundu tisa tu ya choo  lakini mkajenga kumi na moja kwa kweli huu ndio uzalendo unaohitajika ‘’alisema Mwenyekiti wa Chama wilaya

 Aidha kwa utendaji huo uliotukuka  Kamati ya siasa ya wilaya iliagiza Mkurugenzi  Kumpandisha  cheo Kaimu Mtendaji wa Kata ya Kishili Ndugu John Mwakilasi  kuwa Mtendaji wa Kata .Akizungumza Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza  Ndugu Kiomoni Kibamba alihaidi kujenga madarasa mengine mawili kwenye hiyo shule na kuongeza walimu wanane kwa ajili ya kutimiza Ikama

                                                    sehemu ya kusafishishia mikono na nyama kwenye machinjio ya kisasa - Mhandu



Muonekano wa choo kilichojengwa Shule ya Msingi Kishili

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA WAOMBAJI AMBAO HAWAJAWASILISHA TAARIFA ZAO KWA AJILI YA MNADA April 30, 2025
  • JITOKEZE KUJIANDIKISHA October 16, 2024
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA MAENEO YA BIASHARA KATIKA SOKO KUU December 14, 2024
  • TANGAZO LA KUPEWA NA KUINGIZWA KATIKA MFUMO WA TAUSI -UPANGISHAJI WA SOKO KUU MWANZA February 21, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WAKILI KIBAMBA ASISITIZA NIDHAMU ENEO LA KAZI

    May 08, 2025
  • WAWEZESHAJI WATOA MBINU ZA UFUNDISHAJI WA SOMO LA KIINGEREZA KUONGEZA UFAULU NYAMAGANA

    May 05, 2025
  • WAJUMBE WA MABARAZA YA KATA WATAKIWA KUTIMIZA WAJIBU WAO KWA HAKI

    March 26, 2025
  • DC NYAMAGANA MTAA KWA MTAA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI

    March 28, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya wiki ya utumishi wa Umma Halmashauri ya Jiji la Mwanza
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.