• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

Kamati ya siasa yakoshwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo na Jiji la Mwanza

Posted on: May 17th, 2018

Kamati ya siasa ya Chama cha Mapinduzi  yafurahishwa kwa namna Halmashauri inavyotekeleza miradi ya Ujenzi wa Madarasa  na Vyoo kwa Ufanisi

Kamati ya siasa ya Chama Tawala imefanya ziara ya kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa na Halmashauri ya Jiji la Mwanza kwa mwaka wa fedha 2017/2018. Miradi iliyokaguliwa ni pamoja na Ujenzi wa  madarasa  shule ya Msingi Nyangulugulu,Ujenzi wa Matundu ya Choo Mahina Sekondari , Kituo cha Afya Igoma , Machinjio ya Kisasa –Mhandu, Ujenzi na  Ukarabati wa madarasa Igoma C, Ujenzi wa Vyoo Kishiri shule ya Msingi, na Ujenzi wa Madarasa Fumagila.

Kamati ya siasa  ikiwa shule ya Msingi Kishiri walikoshwa kwa namna Uongozi wa  kata unavyoshirikiana na  Viongozi wa Mitaa na Ungozi wa shule kutekeleza maendeleo  “ Tumefurahishwa sana kwa namna mnavyofanya kazi kwa uwazi na ushirikiano mkubwa  mmesema mlipewa Fedha kwa ajili ya Matundu tisa tu ya choo  lakini mkajenga kumi na moja kwa kweli huu ndio uzalendo unaohitajika ‘’alisema Mwenyekiti wa Chama wilaya

 Aidha kwa utendaji huo uliotukuka  Kamati ya siasa ya wilaya iliagiza Mkurugenzi  Kumpandisha  cheo Kaimu Mtendaji wa Kata ya Kishili Ndugu John Mwakilasi  kuwa Mtendaji wa Kata .Akizungumza Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza  Ndugu Kiomoni Kibamba alihaidi kujenga madarasa mengine mawili kwenye hiyo shule na kuongeza walimu wanane kwa ajili ya kutimiza Ikama

                                                    sehemu ya kusafishishia mikono na nyama kwenye machinjio ya kisasa - Mhandu



Muonekano wa choo kilichojengwa Shule ya Msingi Kishili

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA RATIBA YA KUINGIA KWA WAPANGAJI WA MAENEO MBALIMBALI YA SOKO KUU. June 29, 2025
  • TANGAZO LA MAPENDEKEZO YA SHERIA NDOGO ZA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA July 10, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA (MCHUJO) KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA II - MWANZA JIJI April 29, 2023
  • KUITWA KAZINI NAFASI YA MEO III, MWANDISHI MWENDESHA OFISI II, RMA II na DEREVA II January 08, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KWA KUSHIRIKIANA NA RAILWAY CHILDREN AFRICA YAPANGA MIKAKATI YA KUKABILIANA NA WATOTO WA MTAANI

    June 26, 2025
  • HANANG' WAJIFUNZA MBINU ZA KUONGEZA MAPATO KUTOKA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KUPITIA STENDI KUU YA MABASI NYEGEZI

    June 10, 2025
  • DC AWATAKA WANANCHI KUSHIRIKI KATIKA UZINDUZI WA MIRADI

    June 02, 2025
  • MHE. MAKILAGI AONGOZA ZOEZI LA USAFI BUHONGWA KATIKA UZINDUZI WA WIKI YA MAZINGIRA

    May 31, 2025
  • Tazama Zote

Video

Ziara
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.