• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

Jiji la Mwanza limeandika historia ya kuwa Jiji la kwanza kulitembelea Jiji jipya la Dodoma

Posted on: April 30th, 2018

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Jiji la Mwanza limeandika historia ya kuwa Baraza la kwanza kulitembelea Jiji la Dodoma baada ya kupandishwa hadhi hiyo Aprili, 26, 2018.Lengo kuu la ziara ikiwa ni kubadilishana uzoefu hususan katika suala la usafi na Mazingira

Katika ziara hiyo  waheshimiwa madiwani  wakiongozwa na Naibu meya wa Jiji la Mwanza  Mheshimiwa Bhiku Kotecha wamepata fursa ya kulitembelea Dampo la kisasa la kuhifadhia taka kwa njia ya kuzifukia chini (Sanitary land fill)  lilopo eneo la Chidaya  kata ya Matumbulu nje kidogo ya Jiji  Dodoma.

Wakiwa katika Dampo hilo walipata maelezo ya kina juu ya mradi huo kutoka kwa Mhandisi wa Mazingira wa Jiji la Dodoma Barnabas Faida, ambaye aliwaeleza kuwa mradi huo umegharimu Bilioni 7.1 na umetumia zaidi ya Hekari 48 ambapo kwa siku linachukua tani 120 hadi 140 za taka  Mradi huo ulianza kutekelezwa tangu 2011 kwa fedha za serekali ikiwa ni mkopo kutoka Benki ya Dunia  kupitia mradi wa kuimarisha Majiji ya kimkakati (TCSP)

Aidha waheshimiwa madiwani pamoja na wataalamu waliombatana nao walipata fursa ya kulitembelea Bunge la Jamuhuri ya muungano wa Tanzania wakiongozwa na Mwenyeji wao Mheshimiwa Stanslaus Mabula Mbunge wa Nyamagana

Katika ziara hiyo Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, Ndugu Godfrey Kunambi alifurahia  ujio wa ugeni  kutoka halmashauri ya jiji la Mwanza na kuomba uhusiano huo kuendelea kudumu maana “kupitia  mahusiano  haya tutabadilishana uzoefu maana ninyi wenzetu mnauzoefu wa kutosha ya namna ya kuliendesha Jiji  hivyo kupitia mahusiano haya tutajifunza kwenu” alisema Ndugu Kunambi.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA RATIBA YA KUINGIA KWA WAPANGAJI WA MAENEO MBALIMBALI YA SOKO KUU. June 29, 2025
  • TANGAZO LA MAPENDEKEZO YA SHERIA NDOGO ZA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA July 10, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA (MCHUJO) KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA II - MWANZA JIJI April 29, 2023
  • KUITWA KAZINI NAFASI YA MEO III, MWANDISHI MWENDESHA OFISI II, RMA II na DEREVA II January 08, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KWA KUSHIRIKIANA NA RAILWAY CHILDREN AFRICA YAPANGA MIKAKATI YA KUKABILIANA NA WATOTO WA MTAANI

    June 26, 2025
  • HANANG' WAJIFUNZA MBINU ZA KUONGEZA MAPATO KUTOKA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KUPITIA STENDI KUU YA MABASI NYEGEZI

    June 10, 2025
  • DC AWATAKA WANANCHI KUSHIRIKI KATIKA UZINDUZI WA MIRADI

    June 02, 2025
  • MHE. MAKILAGI AONGOZA ZOEZI LA USAFI BUHONGWA KATIKA UZINDUZI WA WIKI YA MAZINGIRA

    May 31, 2025
  • Tazama Zote

Video

Ziara
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.