• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

JIJI LA MWANZA LATOA BIL1.3 KWA WANUFAIKA WA MIKOPO YA ASILIMIA 10%

Posted on: February 20th, 2025

Halmashauri ya Jiji la Mwanza imezindua ugawaji wa mikopo ya asilimia kumi kwa makundi maalumu yakiwemo ya wanawake,vijana na walemavu ambapo takribani Bilioni 1.3 imetolewa kwa vikundi vyenye sifa.

Akifungua uzinduzi huo leo Februari 20, 2025 katika uwanja wa Nyamagana  Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana Mhe, Amina  Makilagi amempongeza Mhe Rais Dr Samia Suluhu Hassan kwa kurejesha mikopo ya  asilimia 10% isiyokuwa na riba ambapo itavinufaisha vikundi 87 vilivyokidhi vigezo na kupata sifa ya kupata mkopo kwa lengo la kuanzisha biashara mbalimbali ili kujiinua kiuchumi.

Aidha Makilagi ameushukuru uongozi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza kupitia Mkurugenzi, Meya na Madiwaji kwa usimamizi mzuri wa mapato huku akisema asilimia 70% ya mapato inaenda kwenye Miradi, asilimia 10% inaenda kwenye mfuko wa Wanawake, Vijana na  Watu wenye ulemavu na kuongeza kuwa hadi sasa wametenga Bilioni 3.8 ambapo leo wametoa Bilioni 1.3 na zimebaki 2.5 ambazo zitatolewa kwa wanufaika wa awamu ya tatu kwa watakaokidhi vigezo baada ya kufanyiwa upembuzi yakinifu.

Naye Mbunge wa Jimbo la Nyamagana Mhe. Stanslaus Mabula amewapongeza wanufaika wa mkopo wa asilimia 10% na kuwataka warejeshe marejesho yao kwa wakati,huku akisema fedha bado zipo na kwamba Halmashauri inatarajia kutoa hadi Bilioni 5  na kuongeza kuwa vikundi vitakavyorejesha kwa wakati vitapewa mkopo mpya huku akisema hana shaka na vukundi vyote kwa kuwa kamati ilijiridhisha kuwa vikundi vyote ni hai kabla ya kutoa mkopo.

Aidha Meya wa Jiji, Mhe. Sima Constantine amewataka wanufaika wakawe mabalozi wazuri kwa kuwa walipewa elimu ya namna ya kutumia fedha hizo za asilimia 10% zisizokuwa na riba na pia kuunga mkono suala zima la utunzaji wa mazingira kwa kutumia nishati safi yakupikia.

Vilevile Bi zena Kapama , ambaye ni Mkuu wa kitengo cha Maendeleo ya Jamii amesema  Mikopo hii ya asimia 10% wanapewa wanaoanzisha mitaji na wale wanaoendeleza mitaji kwa wenye umri wa miaka 18-45 na mikopo haina riba lakini pia amewataka katika biashara watakazozifanya walipe ushuru ili kuendeleza kutunisha mfuko wa Wanawake, Vijana na walemavu.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA RATIBA YA KUINGIA KWA WAPANGAJI WA MAENEO MBALIMBALI YA SOKO KUU. June 29, 2025
  • TANGAZO LA MAPENDEKEZO YA SHERIA NDOGO ZA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA July 10, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA (MCHUJO) KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA II - MWANZA JIJI April 29, 2023
  • KUITWA KAZINI NAFASI YA MEO III, MWANDISHI MWENDESHA OFISI II, RMA II na DEREVA II January 08, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KWA KUSHIRIKIANA NA RAILWAY CHILDREN AFRICA YAPANGA MIKAKATI YA KUKABILIANA NA WATOTO WA MTAANI

    June 26, 2025
  • HANANG' WAJIFUNZA MBINU ZA KUONGEZA MAPATO KUTOKA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KUPITIA STENDI KUU YA MABASI NYEGEZI

    June 10, 2025
  • DC AWATAKA WANANCHI KUSHIRIKI KATIKA UZINDUZI WA MIRADI

    June 02, 2025
  • MHE. MAKILAGI AONGOZA ZOEZI LA USAFI BUHONGWA KATIKA UZINDUZI WA WIKI YA MAZINGIRA

    May 31, 2025
  • Tazama Zote

Video

Ziara
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.