• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

Jiji la Mwanza lafaidika na vifaa vya uokoaji kutoka SUKOS

Posted on: November 27th, 2018

Taasisi ya SUKOS KOVA Tanzania na Vodacom Tanzania wametoa vifaa vya uokoaji kama vile Vifaa vya kuzimia moto,Vifaa vya kuogelea vyenye thamani ya Shilingi  Milioni 120 wilayani Nyamagana,wanufaika wakiwa Jeshi la Zima moto, Wavuvi Shule ya Msingi Nyamagana, Sweya na Luchelele

Akizungumza wakati wa kukabidhi vifaa hivyo Mkuuu wa wilaya ya Nyamagana Dkt Phillis Nyimbi kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.John Mongella amewashukuru wadhamini wa vifaa hivyo kwa nia yao njema ya kusaidia watu wa kanda ya ziwa kuweza kujiokoa na majanga mbali mbali yanayoweza kujitokeza 

"Nimshukuru Mkurugenzi wa SUKOS KOVA na Vodacom Tanzania kwa nia yao njema ya kuwasaidia wana Mwanza.Hivi vifaa vikitumiwa ilivyokusudiwa itasaidia kupunguza na kutuepusha na baadhi ya majanga" amesema Dr Nyimbi

Aidha Dr Nyimbi amewataka watu wote waliopata vifaa hivyo vikatunzwe vyema na kutumika kwa maslai ya wengi na sio watu binafsi .

Akiongea kwa niaba ya Taasisi ya SUKOS KOVA foundation, Kamishna mstaafu wa Jeshi la Polisi Suleman Kova amesema ameguswa na kuona ni vyema Taasisi yake kujikita kutoa Elimu na vifaa kwa watanzania namna ya kujikinga na kujiokoa na majanga mbali mbali yanayotokea kwenye jamii zetu.

Hata hivyo Ndg Kova amewataka wadau wengine kuiga mfano wa Vodacom Tanzania na kuchangia vifaa mbali mbali kwa ajili ya kusaidia uokoaji wakati wa majanga,

Akitoa salam za Halmashauri ya Jiji la Mwanza Naibu Meya wa Jiji la Mwanza Mhe Bhiku kotecha amewashukuru wadau hao wa maendeleo kwa kulichagua Jiji la Mwanza na hususan Kata ya Nyamagana kuwa sehemu ya uzinduzi wa programu hiyo.

Pamoja na hilo, Mhe Kotecha amesema ataendelea kuwa balozi mzuri wa Vodacom Tanzania kutokana na Vodacom kutoa mchango mkubwa mara kwa mara kusaidia jamii.

Naibu meya ameendelea kuwaomba Vodacom Tanzania kuja kuwekeza kwenye uwanja wa kisasa wa mpira wa miguu wilayani Nyamagana kwa kujenga majukwaa ya kukaa watu nao pia watapata fursa ya kutangaza matangazo yao ya biashara.





Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA WAOMBAJI AMBAO HAWAJAWASILISHA TAARIFA ZAO KWA AJILI YA MNADA April 30, 2025
  • JITOKEZE KUJIANDIKISHA October 16, 2024
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA MAENEO YA BIASHARA KATIKA SOKO KUU December 14, 2024
  • TANGAZO LA KUPEWA NA KUINGIZWA KATIKA MFUMO WA TAUSI -UPANGISHAJI WA SOKO KUU MWANZA February 21, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MHE. MAKILAGI AONGOZA ZOEZI LA USAFI BUHONGWA KATIKA UZINDUZI WA WIKI YA MAZINGIRA

    May 31, 2025
  • "SEKTA YA ELIMU HAITAWEZA KUSONGA MBELE KWA MCHANGO WA KUNDI MOJA " , MMHE. MAKILAGI

    May 30, 2025
  • MCHENGERWA AWATAKA MAAFISA HABARI KUWA WABUNIFU

    May 23, 2025
  • DKT. DUGANGE AFUNGUA MKUTANO MKUU WA 25 WA LVRLAC, AHIMIZA UONGOZI BORA NA ULINZI WA RASILIMALI ZA ZIWA VICTORIA

    May 26, 2025
  • Tazama Zote

Video

Ziara
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.