• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

Halmashauri ya Jiji la Mwanza yapongezwa

Posted on: June 26th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda ameipongeza Halmashauri ya Jiji la Mwanza kwa kuendelea kupata Hati safi kwa miaka mitano mfululizo kutoka Ofisi ya Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali. 

Mhe. Mtanda ametoa pongezi hizo Leo wakati wa kikao Maalum cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza na wakuu wa Idara na Vitengo chenye dhima ya kupitia mapendekezo ya (CAG) na namna yalivyoshughulikiwa. Katika hatua nyingine Mhe. Mtanda amelitaka Baraza la Madiwani kuendelea kusimamia shughuli na miradi mbalimbali inayotekelezwa katika Jiji la Mwanza kwani kupata Hati safi ni hatua Moja na kuendelea kuilinda ni hatua nyingine na kwamba wasitetereke katika kusimamia majukumu yao.

Aidha amemtaka Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza Wakili Kiomoni Kiburwa Kibamba Kisagala  kuendelea kusimamia msimamo wake na kuhakikisha anakusanya mapato kwa maendeleo ya Halmashauri na Mkoa kwa ujumla na kumtaka kutoyumbishwa hata kama atakuwa anagusa maslahi ya mtu. “Nakupongeza Mkurugenzi Kibamba kwa ‘Tone’ uliyokuja nayo hakikisha unasimamia maslahi ya Umma na ikiwezakana na huo Mkeka wa watu waliokabidhiwa Hati za viwanja bila kulipia niletee  na mimi nianze nao bila kujali ni nani na ana cheo gani’ amesema Mtanda.

Ameendela kusititiza umoja na mshikamano kwa Wakuu wa Idara na wafanyakazi wa chini kuwa kitu kimoja Ili kutembea kwenye lugha Moja na kuhakikisha kuwa watumishi wote wa Umma mnawaza kuwatumika wananchi na wala si vinginevyo.

Kwa upande wake Meya wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza Constantine Sima ame ahidi kuendelea kufanya kazi kama timu na kuhakikisha wananchi wanapata Maendeleo.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA RATIBA YA KUINGIA KWA WAPANGAJI WA MAENEO MBALIMBALI YA SOKO KUU. June 29, 2025
  • TANGAZO LA MAPENDEKEZO YA SHERIA NDOGO ZA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA July 10, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA (MCHUJO) KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA II - MWANZA JIJI April 29, 2023
  • KUITWA KAZINI NAFASI YA MEO III, MWANDISHI MWENDESHA OFISI II, RMA II na DEREVA II January 08, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KWA KUSHIRIKIANA NA RAILWAY CHILDREN AFRICA YAPANGA MIKAKATI YA KUKABILIANA NA WATOTO WA MTAANI

    June 26, 2025
  • HANANG' WAJIFUNZA MBINU ZA KUONGEZA MAPATO KUTOKA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KUPITIA STENDI KUU YA MABASI NYEGEZI

    June 10, 2025
  • DC AWATAKA WANANCHI KUSHIRIKI KATIKA UZINDUZI WA MIRADI

    June 02, 2025
  • MHE. MAKILAGI AONGOZA ZOEZI LA USAFI BUHONGWA KATIKA UZINDUZI WA WIKI YA MAZINGIRA

    May 31, 2025
  • Tazama Zote

Video

Ziara
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.