• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

"Halmashauri ya Jiji la Mwanza mfano wa kuigwa" - Waziri Jaffo

Posted on: January 4th, 2020


Waziri wa nchi ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe; Selemani Jafo ameisifu Halmashauri ya Jiji la Mwanza kwa kasi na viwango vya utekelezaji wa miradi ya maendeleo.


Waziri Jafo ameyasema hayo alipofanya ziara ya kustukiza wakati alipokagua utekelezaji wa ujenzi wa madarasa matano maarufu kama "madarasa ya Magufuli" katika shule ya Msingi Iseni iliyoko Kata ya Butimba Jijini Mwanza.


Akizungumza na viongozi na wananchi waliokuwepo katika ukaguzi huo Waziri Jafo alishangazwa na spidi ya utekelezaji na pia kiwango cha thamani ya fedha katika utekelezaji wa mradi huo wa madarasa. "Mhe; Rais Magufuli alitoa agizo la ujenzi huu tarehe 08 Disemba2019 na leo tarehe 03 January 2020 mradi umefikia hatua ya kuezeka? na tena mmetumia milioni 29 tu, fedha za ndani! Kwa kweli mnastahili pongezi na Halmashauri zingine nchini ziige mfano huu" alisema Waziri Jafo.


Pamoja na kutoa sifa hiyo kwa mradi wa madarasa, Waziri Jafo alisema amewahi kukagua miradi ya Afya (Kituo cha Afya Igoma), elimu (Nganza Sekkndari), ujenzi wa miundombinu ya barabara (Nyamazobe) na mingine mingi na mara zote amekuwa akiridhishwa na kiwango cha utekelezaji na thamani ya fedha.


Ziara hii ilitokana na Waziri Jafo kuhudhuria Tamasha la Utoaji tuzo kwa walimu, wanafunzi, shule na kuwaaga wastaafu wote wa elimu msingi kuanzia Januari hadi Disemba 2019 lililofanyika viwanja vya CCM Kirumba tarehe 03 Disemba 2020.


Akizungumza na walimu na watumishi wengine waliohudhuria tamasha hilo, Waziri Jafo alitoa maagizo kwa maafisa Utumishi wa Halmashauri zote nchini kuzingatia utoaji wa stahiki za watumishi ikiwa ni Pamoja na kulipa malimbikizo na kuwapandisha madaraja watumishi wanaostahili.

Alisema maafisa Utumishi wanaojifanya miungu watu sasa wakati wao umekwisha.


Tamasha la utoaji wa tuzo liliambatana na michezo mbalimbali ikiwamo mpira wa miguu, mpira wa wavu, netball, kuvuta kamba na utoaji wa zawadi kwa walimu, shule, Kata,na wanafunzi waliofanya vizuri katika matokeo ya darasa la saba mwaka 2019.

Halmashauri ya Jiji la Mwanza ilikuwa ya nne kitaifa katika matokeo ya elimu msingi 2019 na inalenga kuwa ya kwanza kitaifa.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA WAOMBAJI AMBAO HAWAJAWASILISHA TAARIFA ZAO KWA AJILI YA MNADA April 30, 2025
  • JITOKEZE KUJIANDIKISHA October 16, 2024
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA MAENEO YA BIASHARA KATIKA SOKO KUU December 14, 2024
  • TANGAZO LA KUPEWA NA KUINGIZWA KATIKA MFUMO WA TAUSI -UPANGISHAJI WA SOKO KUU MWANZA February 21, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WAKILI KIBAMBA ASISITIZA NIDHAMU ENEO LA KAZI

    May 08, 2025
  • WAWEZESHAJI WATOA MBINU ZA UFUNDISHAJI WA SOMO LA KIINGEREZA KUONGEZA UFAULU NYAMAGANA

    May 05, 2025
  • WAJUMBE WA MABARAZA YA KATA WATAKIWA KUTIMIZA WAJIBU WAO KWA HAKI

    March 26, 2025
  • DC NYAMAGANA MTAA KWA MTAA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI

    March 28, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya wiki ya utumishi wa Umma Halmashauri ya Jiji la Mwanza
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.