• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KUENDELEA KUIMARISHA UHUSIANO NA JIJI LA TAMPELE.

Posted on: February 7th, 2025

Balozi wa Finland Nchini Tanzania, Mhe.Theresa Zitting afanya ziara katika Halmashauri ya Jiji la Mwanza yenye lengo la kuimarisha uhusiano kati ya Jiji la Mwanza na Jiji la Tampere pamoja na Taasisi za Nchini Finland.

Katika ziara hiyo, Mhe.Balozi Zitting amepokea taarifa ya maendeleo  ya uhusiano kati ya Jiji la Mwanza na Tampere kisha kuahidi kuwa ofisi yake itatoa ushirikiano kwa kushirikiana na Wizara ya Mambo ya Nje ya Tanzania katika kuwezesha shughuli zitokanazo na uhusiano kati ya majiji hayo.

Aidha, Mstahiki Meya wa Jiji Mhe.Sima C. Sima ameeleza  umuhimu wa kushirikiana katika miradi ya maendeleo na kubadilishana uzoefu katika nyanja za kijamii na kiuchumi. 

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi Bw. Jeremiah Lubeleje ameishukuru Serikali ya Finland kwa kuendelea kutoa fursa mbalimbali kwa Nchi yetu na kugusia baadhi ya manufaa yaliyopatikana kupitia uhusiano wa Majiji haya.

Naye Mratibu wa uhusiano wa Miji Dada (Sister cities) Halmashauri ya Jiji la Mwanza Bw. Billy Albert Brown amesema kuwa Halmashauri ya Jiji la Mwanza itaendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Miji rafiki iliyoko Nje ya Nchi katika kuchangia maendeleo ya jamii ya Mwanza kwenye sekta mbalimbali.

Vilelvile aliongeza kuwa Halmashauri ya Jiji itaendelea kushirikiana na ubalozi wa Finland katika kuendeleza uhusiano wak na Jiji la Tampere.

Ikumbukwe uhusiano wa Jiji la Mwanza na Tampere ulianza mwaka 1988 ambapo hadi sasa ni Zaidi ya miaka 37, na kufanikiwa kutekeleza shughuli mbalimbali ikiwemo kuliwezesha Jiji la Mwanza kufanya mapitio ya hiyari ya utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs) kuelekea safari ya 2050.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA RATIBA YA KUINGIA KWA WAPANGAJI WA MAENEO MBALIMBALI YA SOKO KUU. June 29, 2025
  • TANGAZO LA MAPENDEKEZO YA SHERIA NDOGO ZA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA July 10, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA (MCHUJO) KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA II - MWANZA JIJI April 29, 2023
  • KUITWA KAZINI NAFASI YA MEO III, MWANDISHI MWENDESHA OFISI II, RMA II na DEREVA II January 08, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KWA KUSHIRIKIANA NA RAILWAY CHILDREN AFRICA YAPANGA MIKAKATI YA KUKABILIANA NA WATOTO WA MTAANI

    June 26, 2025
  • HANANG' WAJIFUNZA MBINU ZA KUONGEZA MAPATO KUTOKA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KUPITIA STENDI KUU YA MABASI NYEGEZI

    June 10, 2025
  • DC AWATAKA WANANCHI KUSHIRIKI KATIKA UZINDUZI WA MIRADI

    June 02, 2025
  • MHE. MAKILAGI AONGOZA ZOEZI LA USAFI BUHONGWA KATIKA UZINDUZI WA WIKI YA MAZINGIRA

    May 31, 2025
  • Tazama Zote

Video

Ziara
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.