• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

DC NYAMAGANA MTAA KWA MTAA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI

Posted on: March 28th, 2025

Katika kuhakikisha jamii inashirikiana na Serikali katika kuchangia  maendeleo ya kijamii, kisiasa na inasaidia kuweka msingi wa utawala bora na maendeleo endelevu, Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana Mhe. Amina Makilagi ameendesha mikutano ya hadhara katika kata ya Mbugani na Mkolani.

Katika mikutano hiyo iliyofanyika Machi 27 na 28, 2025, wananchi wa mtaa wa Mzambalauni, Nyamazobe na Ibanda wamepata nafasi ya kutoa kero zao ampapo miongoni mwa kero zilizotajwa ni pamoja na  ubovu wa miundombinu ya barabara, umeme, maji na upungufu wa vyumba vya madarasa katika baadhi ya Shule.

Kwa upande wa changamoto ya maji walisema, ”Maji yanatoka mara moja kwa wiki au muda mwingine hata hiyo wiki yanaweza yasitoke tunalazimika kununua maji kwa gharama kubwa kutoka katika maeneo jirani jambo ambalo kwa baadhi ya watu imekuwa ni ngumu kumudu gharama za ununuzi wa maji” walisema.

Akizungumza na wananchi hao Mhe. Makilagi alisema Serikali imetoa bilioni 46 kwa ajili ya kujenga matenki katika mitaa minne na kusambaza mabomba.

"Mtaa wa Nyamazobe litajengwa tenki la lita milioni tano na litasambaza maji katika Mitaa ya Kata ya Mkolani, Sahwa litajengwa la lita milioni 10, Buhongwa Lita milioni 10 na Fumagila lita milioni 10" alisema Makilagi.

Alisema katika ujenzi wa matenki hayo umeshaanza kutekelezwa katika mitaa miwili ambayo ni Buhongwa na Sahwa.

"Nyamazobe na Fumagila ujenzi haujaanza kutokana na wananchi waliopitiwa na ujenzi wa mradi huo kusubiri fidia zao" alisema Makilagi na kuongeza ,

"Tenki hili linalojengwa katika Mtaa wenu wa Nyamazobe na litakuwa suluhisho la kero ya maji safi na salama inayowakabili" alisema Makilagi.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Usambazaji Maji kutoka Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira (MWAUWASA), Bw. Celestine Mahubi alisema wananchi waliopitiwa na mradi huo ni 36 hivyo wanasubiRi walipwe fidia ili mkandarasi aanze kazi.

Aidha katika kuhakikisha kero za wananchi zinatatuliwa Mhe. Makilagi alitoa maelekezo kwa  wataalam alioambatana nao kuhakikisha wanashughulikia changamoto zote zilizotajwa na wananchi ili kuboresha huduma stahiki kwa wakati.


Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA RATIBA YA KUINGIA KWA WAPANGAJI WA MAENEO MBALIMBALI YA SOKO KUU. June 29, 2025
  • TANGAZO LA MAPENDEKEZO YA SHERIA NDOGO ZA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA July 10, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA (MCHUJO) KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA II - MWANZA JIJI April 29, 2023
  • KUITWA KAZINI NAFASI YA MEO III, MWANDISHI MWENDESHA OFISI II, RMA II na DEREVA II January 08, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KWA KUSHIRIKIANA NA RAILWAY CHILDREN AFRICA YAPANGA MIKAKATI YA KUKABILIANA NA WATOTO WA MTAANI

    June 26, 2025
  • HANANG' WAJIFUNZA MBINU ZA KUONGEZA MAPATO KUTOKA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KUPITIA STENDI KUU YA MABASI NYEGEZI

    June 10, 2025
  • DC AWATAKA WANANCHI KUSHIRIKI KATIKA UZINDUZI WA MIRADI

    June 02, 2025
  • MHE. MAKILAGI AONGOZA ZOEZI LA USAFI BUHONGWA KATIKA UZINDUZI WA WIKI YA MAZINGIRA

    May 31, 2025
  • Tazama Zote

Video

Ziara
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.