• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

DC NYAMAGANA AHIMIZA WANANCHI KUSHIRIKI KAMPENI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024

Posted on: November 19th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana  Mhe, Amima Makilagi amewataka wananchi wa Kata ya Luchelele kujitokeza kwa wingi kushiriki kampeni za uchaguzi wa viongozi wa Serikali za Mitaa zinazotarajia kuanza Novemba 20,2024.

Mhe, Amina Makilagi ameyasema hayo jana Novemba 19,2024 katika viwanja vya Nganza kata ya Luchelele alipofanya ziara yake ya kuhamasisha wananchi  kujitokeza kuunga mkono Vyama vyote vya Kisiasa vitakavyokuwa vinanadi sera zake kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika Novemba 27,2024.

Aidha, Mhe Makilagi ameendelea kuueleza Umma wa wananchi kuwa kila mtu anahaki ya kuchagua na kuchaguliwa bila ubaguzi wa rangi, Kabila, Chama wala dini hivyo basi wanapaswa kuunga mkono vyama vyote kumi na tisa (19)vitakavyoshiriki kampeni za uchaguzi wakati wa kunadi sera.

Vilevile Mhe, Makilagi amevitaka yama vya siasa kuendesha kampeni kwa kuzingatia sheria na kanuni za uchaguzi na ametoa angalizo kwa atakaeenda kinyume na taratibu zilizowekwa kwa mujibu wa sheria na Katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, sheria itachua mkondo wake.

Naye Bw. Pascal Juma mkazi wa Luchelele ameunga mkono Juhudi zinazofanywa na Mkuu wa wilaya ya Nyamagana kwa kusimamia miradi inayotekezwa na Serikali ya awamu ya sita ya Dr Samia Suluhu Hassani, nakuwaomba Wananchi wenzake waungane kusikiliza sera zitakazokuwa zinatolewa na wafanya kampeni kwani itasaidia kupata kiongozi atakaleta maendeleo katika Mitaa na kata.

Mkuu wa wilaya ya Nyamagana, Mhe Makilagi amehitimisha kwa Kuwataka Wananchi kushiriki kampeni zenye amani kwani Nchi yetu ni ya amani na kuongeza kuwa hatamvumilia mtu yeyote atakayeonyesha viashiria vyovyote vya uvunjifu wa amani.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA WAOMBAJI AMBAO HAWAJAWASILISHA TAARIFA ZAO KWA AJILI YA MNADA April 30, 2025
  • JITOKEZE KUJIANDIKISHA October 16, 2024
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA MAENEO YA BIASHARA KATIKA SOKO KUU December 14, 2024
  • TANGAZO LA KUPEWA NA KUINGIZWA KATIKA MFUMO WA TAUSI -UPANGISHAJI WA SOKO KUU MWANZA February 21, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WAKILI KIBAMBA ASISITIZA NIDHAMU ENEO LA KAZI

    May 08, 2025
  • WAWEZESHAJI WATOA MBINU ZA UFUNDISHAJI WA SOMO LA KIINGEREZA KUONGEZA UFAULU NYAMAGANA

    May 05, 2025
  • WAJUMBE WA MABARAZA YA KATA WATAKIWA KUTIMIZA WAJIBU WAO KWA HAKI

    March 26, 2025
  • DC NYAMAGANA MTAA KWA MTAA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI

    March 28, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya wiki ya utumishi wa Umma Halmashauri ya Jiji la Mwanza
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.