• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

CHANJO YA SURUA RUBELLA KUTOLEWA MWANZA.

Posted on: February 14th, 2024

Katibu Tawala wa Wilaya ya Nyamagana Ndg. Thomas James Salala kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana Mhe. Amina Nassoro Makilagi ameongoza kikao cha Kamati ya Afya ya Msingi katika ukumbi mkubwa wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza tarehe 14/02/2024 chenye lengo la kujadili namna ya kufikisha ujumbe sahihi kwa jamii juu ya chanjo ya Surua Rubella.

Kufuatia kikao hicho, Mratibu wa chanjo, Ndugu Makubi Masaga Gondera amewaeleza wajumbe kuwa Chanjo ya ugonjwa wa Surua Rubella itaanza kutolewa tarehe 15-18 Februari,2024 na kampeni itafanyika ndani ya siku 4 ambapo watoto takribani 81,449 watachanjwa na jumla ya dozi 85,520 za chanjo za Surua Rubella zimepokelewa  katika wilaya ya Nyamagana na zikusambazwa katika vituo maalum vya kutolea chanjo,    wahusika wa chanjo hii ni  watoto kuanzia miezi 9 hadi miaka 4 na miezi 11  bila kujali chanjo walokwisha kupewa mwanzo kwa kuwa haina madhara bali inaongeza nguvu na kumfanya mtoto awe na kinga imara.

Ndg, Makubi Masaga Gondera ameongeza kuwa kampeini hii yenye kaulimbiu '' Onyesha upendo, Mpeleke Mtoto akapate chanjo''  inawataka   wazazi na walezi kuwapeleka watoto katika vituo vya huduma ya chanjo ili kupata chanjo hiyo kikamilifu ambapo mtoto atachomwa akiwa na miezi 9 na kuirudia baada ya miezi 18, hii inafanyika kumkinga mtoto dhidi ya viusi vya  "Morbilli virus paramyxrus" vinavyosababisha ugonjwa huo.

Naye Mwenyekiti wa wenyeviti wa mitaa wa mtaa wa Bugando Jiji la Mwanza, Ndg Juma R. Masanja. Ameshauri wajumbe wa kamati hiyo kuwekeza nguvu kubwa kwa viongozi wa ngazi ya chini ili kuhakikisha elimu ya kampeni ya chanjo inawafikia wananchi wote na kutowa wito kwa serikali kuwawezesha mahali penye uhitaji ili kusambaza taarifa kwa haraka.

Kwa upande wake Ndg, Juma  Yusuphu Mwakilishi wa Shekhe wa Wilaya ametoa maoni yake nakusema "Jamii zetu bado zinawasiwasi na chanjo zinazotolewa kwa sababu watu hawana uelewa nazo hivyo ni vyema kushiriki kikamilifu katika kampeni ya chanjo kwa kuwaelimisha wazazi na walezi kuhusu umuhimu wa chanjo itakayotolewa kwa Watoto.

Akihitimisha kikao hicho Ndg, Thomas James Salala amesisitiza kuwa ujumbe sahihi utolewe kwa jamii juu ya chanjo hii na kutoa onyo kwa wale wote watakao potosha na kukwamisha zoezi hili na kwamba taarifa za upotoshaji zitolewe sehemu husika.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA RATIBA YA KUINGIA KWA WAPANGAJI WA MAENEO MBALIMBALI YA SOKO KUU. June 29, 2025
  • TANGAZO LA MAPENDEKEZO YA SHERIA NDOGO ZA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA July 10, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA (MCHUJO) KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA II - MWANZA JIJI April 29, 2023
  • KUITWA KAZINI NAFASI YA MEO III, MWANDISHI MWENDESHA OFISI II, RMA II na DEREVA II January 08, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Serikali Yatenga Bilioni 12 Kukamilisha Ujenzi wa Jengo la Ghorofa Tano Hospitali ya Wilaya ya Nyamagana

    July 04, 2025
  • HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KWA KUSHIRIKIANA NA RAILWAY CHILDREN AFRICA YAPANGA MIKAKATI YA KUKABILIANA NA WATOTO WA MTAANI

    June 26, 2025
  • HANANG' WAJIFUNZA MBINU ZA KUONGEZA MAPATO KUTOKA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KUPITIA STENDI KUU YA MABASI NYEGEZI

    June 10, 2025
  • DC AWATAKA WANANCHI KUSHIRIKI KATIKA UZINDUZI WA MIRADI

    June 02, 2025
  • Tazama Zote

Video

Ziara
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • ESS(Watumishi Portal)
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0755741738

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.